KWANINI MENIUA"
Mama baba acha kulia, akwilini sijafa mejilalia
Waloniua wanashangilia,moyo wangu unaumia
Bahati mbaya tajisemea,ukweli moyonpia ajua
Usifadhahika mama tulia,baba mimi natangulia
Askari kwanini meniua?,moyo wangu hujatulia.
Mauti angu mekusudia,bahat mbaya mwasema
Risasi watu...