Recent content by JMP Mchungu

  1. JMP Mchungu

    JamiiForums Tanzania Zoezi la Utoaji wa Vitambulisho vya Taifa: Waziri Simbachawene asema NIDA wanafanya kazi, tatizo lipo kwenye mtambo unaozalisha Vitambulisho vichache

    Waziri wa Mambo ya Ndani Nchini, George Simbachaweme amesema Mamlaka inaendelea kugawa vitambulisho katika baadhi ya maeneo licha ya kuwa vinatengenezwa kwa uchache. Amesema kwa mujibu wa taarifa, ndani ya mwezi wa Mwezi wa Novemba na Desemba mwaka 2020, vitambulisho 20,000 vimepelekwa Kongwa...
  2. JMP Mchungu

    JamiiForums Tanzania Magendo ya mamilioni ikiwemo magari yanaswa Rombo, baadhi kutaifishwa

    Bidhaa za magendo na Magari ya kifahari zaidi ya 20 vimekamatwa katika mpaka wa Holili uliopo wilaya ya Rombo ===== Gabriel Mwangozi, meneja TRA mkoa wa Kilimanjaro amesema magari hayo yanatofautiana makosa, mengine yalibeba magendo ambapo mengine yatatozwa faini na mengine yakitaifishwa...
  3. JMP Mchungu

    JamiiForums Tanzania BIMA imeokotwa

    Kuna bima(NHIF) imeokotwa maebeo ya Mbezi (Africana) majina yake ni Leah A Lutaihwa Kwa mwenye kumfahamu awasiliane kwa namba 0686423761 Asanteni!
  4. JMP Mchungu

    JamiiForums Tanzania Huu ni wosia wa CAG kwa vijana wote wa Kitanzania

    Wote tumeshuhudia msimamo thabiti wa msimamizi na mkaguzi wa hesabu za serikali!! Je, tumejifunza nini vijana wa Tanzania ambao ndio viongozi wajao? CAG Umri wake umeenda wote tunaliona hilo na ukweli anahitaji kutuachia kitu vijana wake! Hawezi kutuachia mali zake kama urithi wetu kwake ila...
  5. JMP Mchungu

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu azungumzia madai ya kuchafua taifa na Spika kuzuia mshahara wake akihutubia Watanzania waishio Marekani

    Tundu Lissu amepata mda wa kuzungumza na WATANZANIA waishio Marekani ambapo amezungumza na kufunguka mengi huku akionekana kuungwa mkono na wengi wao Msikilize hapa Sent using Jamii Forums mobile app
  6. JMP Mchungu

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu aanza mazoezi ya kutembea baada ya kutolewa vyuma mwilini

    Mbunge Tundu Lissu alipata kuonyesha baadhi ya sehemu za mwili wake ambapo risasi zilipita na kujeruhi na kuonesha jinsi anavyofanya juhudi kurudisha mifupa katika hali yake ya awali! Tazama hapa! Sent using Jamii Forums mobile app
  7. JMP Mchungu

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mmeniua?

    KWANINI MENIUA" Mama baba acha kulia, akwilini sijafa mejilalia Waloniua wanashangilia,moyo wangu unaumia Bahati mbaya tajisemea,ukweli moyonpia ajua Usifadhahika mama tulia,baba mimi natangulia Askari kwanini meniua?,moyo wangu hujatulia. Mauti angu mekusudia,bahat mbaya mwasema Risasi watu...
  8. JMP Mchungu

    JamiiForums Tanzania Je, Polisi washitakiwe kusababisha vifo kizembe vya random shootout? RIP Aqulina Akwilini, Baftaha, She is an Angel!

    Are serious??? Polisi hawana makosa?? Ni Sheria gani inawaruhusu kuwashambulia na kuua watu wasio na hatia?? Jitafakari mkuu hapa lazima Polisi walaumiwe hakuna kukwepa lawama hapo
  9. JMP Mchungu

    JamiiForums Tanzania Je, Polisi washitakiwe kusababisha vifo kizembe vya random shootout? RIP Aqulina Akwilini, Baftaha, She is an Angel!

    Narudia kauli yangu na sitaacha kuisema kauli hiyo *ipo siku watanzania watachoka na watadai haki kwa nguvu bila woga wa kupigwa risasi* ngoja serikali ijifanye kipofu saivi ndo siku ikifika watajua
  10. JMP Mchungu

    JamiiForums Tanzania Ni lini mabadiliko thabiti yatatokea Tanzania yetu?

    Naumiza sana kichwa changu kuhoji ni lini Mabadiliko Thabiti Tanzania yatatokea! Ni lini tutaona vyombo vya usalama vinaacha kuikinga serikali inapofanya mambo yanayokinzana na demokrasia! Ni lini tutaona mwana CCM akiikosoa hadharani serikali yake bila woga, lini mwana CHADEMA atakosoa uovu...
  11. JMP Mchungu

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi TANAPA

    VACANCIES ANNOUNCEMENT Tanzania National Parks (TANAPA) is a Parastatal Organization whose mandate is to manage and regulate the use of areas designated as National Parks. The Organization currently manages sixteen National Parks which form part of larger protected ecosystems set aside to...
  12. JMP Mchungu

    JamiiForums Tanzania Kero ya usafiri kwa wanafunzi wa chuo kikuu cha Dodoma

    Huo ni wivu! kama ni chuo cha kata njoo afu usisome tuone kama utabaki! na tambua UDOM zipo kozi ambazo hazipatikani chuo chochote Tanzania! na ndo chuo cha kwanza Tanzania kimeanza kutoa TUTORIAL online angalia hapa www.udomceliot.co.tz kuna tutorial kama za programming ambako hamna chuo...
  13. JMP Mchungu

    JamiiForums Tanzania Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

    What is civil society organization? Linking with literature acces the key features of the "ideal type" (CSO). Using empirical examples compare how well CSOs in developed countries and CSOs in developing countries, compare and contrast to this "ideal type"
  14. JMP Mchungu

    JamiiForums Tanzania Zimbabwe: Kamati Kuu ya Chama cha ZANU-PF imemvua Uenyekiti wa Chama Rais Mugabe, Grace Mugabe avuliwa Uanachama

    Sasa siyo siri tena kwamba Afrika nzima Simba wa Nyika amebaki mmoja tu nae ni Rais wa sasa wa Zimbabwe Mzee Robert Mugabe na huenda siku ambayo Mwenyezi Mungu ataamua kumchukua huyu Mzee basi bara zima la Afrika litakuwa limepoteza ' Lulu / Thamani ' ya kweli ya Kiongozi madhubuti. Siku ya...
  15. JMP Mchungu

    JamiiForums Tanzania Mwanamke aliekufa miezi sita iliopita afufuka Mwanza

    Mwanamke Chausiku Miligo aliyedaiwa kufariki na kuzikwa miezi sita iliyopita, amezua taharuki kubwa baada ya kuonekana tena mtaani kwake Mbugani Kata ya Igoma, jijini Mwanza akiwa hai. Majirani wa mwanamke huyo wameshangazwa na kitendo cha yeye kuonekana huku wakipigwa taharuki, kwani...
Back
Top Bottom