Recent content by JML

  1. J

    Nahitaji kuku wa kienyeji Arusha

    Usiangalie kuwa na idadi kubwa ya kuku my friend, angalia mzunguko (biashara) kwanza. Kuza - uza, kuza - uza. Ni kuku wa mayai au unataka kuuza wa nyama? Anza na 100 - 150 kisha upime gharama zake na kuimarisha ujuzi. Kuna mambo mengi ya kujifunza kabla hujabobea. :A S clock:
  2. J

    Rafiki wa Kiume matured (40-50), mkatoliki anatafutwa

    Umri huo? Labda mjane au mtalaka. Ukipata ambae ni free lazima kuna sababu..........au tabia..... ambayo pia wengine wameshindwa. Nakushauri kama uko alone we kaza buti songa mbele kivyako, hapa unatafuta matatizo.
  3. J

    Biashara ya Kuku

    Kufuata kuku mbali na unakofanyia biashara haitakulipa. Riski pia ni kubwa. Nakushauri kama una eneo la kutosha na muda, fuga mwenyewe utapata faida nzuri. Lakini unataka kufanyia wapi hii biashara?
  4. J

    Coming soon: New Kawe City (Uptown Kawe)

    Kupitia NHC zitajengwa ila kwa muda mrefu. Labda kama watajikoroga kwenye management ila hakuna shida ya mtaji.
  5. J

    Nyumba za NHC na NSSF zinauzwa bei gani?

    Tembelea ofisi zao, nyumba zipo na kwa bei tofauti kulingana na aina na mahali ilipo. Usiogope tena kama wewe ni mtumishi wa uma - mwajiriwa serikalini utakua na fursa nzuri sana ila ondoa woga. Ingia ofisini, keti fanya nao biashara.
  6. J

    Kuku wangu wamedumaa, msaada wakuu

    Onana na mtaalamu wa kuku awaangalie kwanza na umweleze historia nzima vingine nasita kushauri bila kuwaona.
  7. J

    Kwa fani ya umeme, utawezaje kufanya biashara?

    Ni kweli, wa TZ tuuze fani zetu. Ila tufanye kazi serious tuache porojo.
  8. J

    Mayai ya kware yanapatikana kwa wingi sasa

    Akikomaa anafikisha kilo ngapi ya nyama?
  9. J

    Mayai ya kware yanapatikana kwa wingi sasa

    Vipi mayai au vifaranga vya kanga?
  10. J

    Mayai ya kware yanapatikana kwa wingi sasa

    Unapatikana wapi mkuu?
  11. J

    Wadada wa kazi ni balaa

    Tatizo kuajiri watoto ili kuwalipa kiduchu. Ajiri mtu aliekomaa kiakili na mlipe vizuri. We kama mtoto amemaliza la saba hata kwenda sekondari ya kata hajafanikiwa wee unategemea nini atakusaidiaje?
  12. J

    Kama Taifa, tusimame kupinga utengenezwaji na uuzwaji pombe kali za viroba

    Shindwa!! Hizi pombe zimemaliza nguvu kazi ya taifa. Hata ngombe akikata kamba hakuna vijana wa kumkamata, ukiwa na kazi hakuna mtu wa kuifanya, mambo huko nyumbani ndo sifuri kabisa wakina mama ndo wanaendesha familia sasa vijana wamebakia pombe na sigara tu. Tujiandae kuajiri watu kutoka nchi...
  13. J

    Magufuli hafai kuwa Rais: Siyo msafi na hajawahi kuwa msafi

    Unafikiri nani atafaa? Na kwa nini?
  14. J

    Mafuta ya KY-Jelly: Ni yepi matumizi yake sahihi?

    Ni kwa ajili ya wamama ambao umri umesogea na maeneo yamekauka.......kulainisha koromeo.
  15. J

    Mapenzi ya mume wa mtu yamemchanganya ukubwani anaomba mumshauri

    Kama kweli humhitaji funga na kuomba. Inawezekana amegudua utamwezesha namna fulani. Salio lake linasoma?
Back
Top Bottom