Recent content by jmdume45

  1. jmdume45

    Tanzania yatangaza visa vipya vinne vya Corona nchini Aprili 6, 2020. Visa vyafika 24

    [emoji849][emoji849][emoji849] Sent using Jamii Forums mobile app
  2. jmdume45

    Tanzania yatangaza visa vipya vinne vya Corona nchini Aprili 6, 2020. Visa vyafika 24

    Hii siku ya tatu sasa nahisi kukosa pumzi kabisa .mbavu kubana kama kichomi flani ivi kwa ndani. Na kauchovu wakati mwingine, hizi siyo dalili za kolona wakuu..??!!! Sijiskii homa, msosi nakula, niliugua mafua 3weeks ago na nilishapona, sikohoi, Naogopa sana Sent using Jamii Forums mobile app
  3. jmdume45

    Unamiliki nini katika Umri huu?

    27 yrs sina mke wala mtoto.. nimepanga single room. Niko na shamba la mahindi 1.5 heka nasubiria mavuno... 4M on my bank acc.. naskilizia upepo wa corona uishe niingize kwenye mzunguko Sent using Jamii Forums mobile app
  4. jmdume45

    Aisee Bongo movie bado sana tusubiri miaka 1000

    Wanatoa lini boss
  5. jmdume45

    Mambo nisiyoyapenda nikiwa faragha na mwanaume

    Mlango uko wapi... Mbona giza sioni kitu .. Mwweeh
  6. jmdume45

    Nimetimiza miaka 9 bila kufanya ngono

    Hongera mi mwezi wa tatu huu sasa[emoji23][emoji23]
  7. jmdume45

    Sex Time: Nachukua muda mrefu kutosheka

    Binadamu mupewe nini mridhike aisee
Back
Top Bottom