Tetesi: Ubaguzi Serikali ya CCM awamu ya tano (5) katika utoaji wa ajira

KING DUBU

JF-Expert Member
Mar 7, 2017
919
1,239
Kwa masikitiko makubwa sana wazazi na wahitimu wa ualimu wa masomo ya Sanaa katika awamu ya uongozi huu wanaskitika kwani unaonyesha ubaguzi wa Hali ya juu kwa visingizio vya kukuza sayansi nchini.
Hivyo walimu wa arts wanaonekana si kitu chochote na hivyo wameachwa mtaani wengine wakiwa hawajui tena matumaini ya elimu walioipata!

Majibu ya viongozi: viongozi wametoa matamko tofauti kuwa walimu wa arts wanatosha, muda huohuo wanahamisha walimu toka sekondari kwenda shule ya msingi hii ni kudhihirisha upungufu mkubwa wa walimu. Sasa Kwanini serikali isijikite kuajiri walimu wa arts ambao toka 2015 hawajaajiriwa na kuwapeleka primary kuliko kuwahamisha ambao Wapo sekondari toka zamani.

Nini Hatima ya wahitimu katika serikali hii inayojiita kuwa serikali ya wanyonge? ni wanyonge gani ambao serikali inawasemea, nyuma ya hao wahitimu kuna maelfu ya familia ambazo zinamatumaini ya kufutwa machozi ya ada, kulipa mkopo wa bodi ya mikopo ya elimu ya juu, na raslimali zilizotumika kuwekeza katika elimu.

Ombi kwa wabunge: wabunge ambao ndio watetezi wa wananchi wapaze sauti kuikumbusha serikali umuhimu wa kupunguza rate of unemployment katika jamii, kamwe uchumi wa Kati hauwezi kufikiwa kama rate of unemployment is still exist.

Ni muhimu sasa serikali iwaajiri walimu wa Sanaa hata kwa kupelekwa primary ili kupunguza wingi wa wahitimu wasio na ajira Mitaani. Kama serikali ya awamu ya nne iliweza kwa nini hii ishindwe?
 
mbona hata walimu wa physics na basic applied mathematics wapo mtaani bila ajira ya serikali
 
Sio walimu tuu, hata kada ya afya nako hakuna ajira,
At least watu wa uhandisi wanaambulia sekta binafsi,
Tuombe mungu ili mkuu wa nchi asikie haya maombi
 
Kwa masikitiko makubwa sana wazazi na wahitimu wa ualimu wa masomo ya Sanaa katika awamu ya uongozi huu wanaskitika kwani unaonyesha ubaguzi wa Hali ya juu kwa visingizio vya kukuza sayansi nchini.
Hivyo walimu wa arts wanaonekana si kitu chochote na hivyo wameachwa mtaani wengine wakiwa hawajui tena matumaini ya elimu walioipata!

Majibu ya viongozi: viongozi wametoa matamko tofauti kuwa walimu wa arts wanatosha, muda huohuo wanahamisha walimu toka sekondari kwenda shule ya msingi hii ni kudhihirisha upungufu mkubwa wa walimu. Sasa Kwanini serikali isijikite kuajiri walimu wa arts ambao toka 2015 hawajaajiriwa na kuwapeleka primary kuliko kuwahamisha ambao Wapo sekondari toka zamani.

Nini Hatima ya wahitimu katika serikali hii inayojiita kuwa serikali ya wanyonge? ni wanyonge gani ambao serikali inawasemea, nyuma ya hao wahitimu kuna maelfu ya familia ambazo zinamatumaini ya kufutwa machozi ya ada, kulipa mkopo wa bodi ya mikopo ya elimu ya juu, na raslimali zilizotumika kuwekeza katika elimu.

Ombi kwa wabunge: wabunge ambao ndio watetezi wa wananchi wapaze sauti kuikumbusha serikali umuhimu wa kupunguza rate of unemployment katika jamii, kamwe uchumi wa Kati hauwezi kufikiwa kama rate of unemployment is still exist.

Ni muhimu sasa serikali iwaajiri walimu wa Sanaa hata kwa kupelekwa primary ili kupunguza wingi wa wahitimu wasio na ajira Mitaani. Kama serikali ya awamu ya nne iliweza kwa nini hii ishindwe?
Ndo maana Makapa analeta hoja ya Elimu. Maana ulichikiandika apa kinaonesha hata ww ulihitaji mfumo mpya wa Elimu tofauti na hyo uliyopata.

mfano unasema "nn hatima ya wahitimu katika serikali hii......" NON SENSE. Wewe ulitakaje?? Kwan wamejarb tujituma kwa kutumia Elimu yao serikali ikazuia??.

Nanasi zinazooza mkuranga hawazioni kuzipeleka mjini??
Mbao za Makambako (Kijiji cha Lusisi) unataka zioonezee huko?
Wameomba kuwa agents wa maziwa ya ASAS pale Kilolo Iringa serikali ikakataa??
Wamejarib kulangua dhahabu kwa wachimbaji wadogo huko Bukombe Geita, mji wa Masumbwe na kuuza Kahama Mjini serikali ikagoma?
(Masumbwe Geita 40Km from Kahama mjini dhahabu inauzwa 1gm = 72,000, wakat Kahama mjini 1gm = 100,000 faida 28,000 per gm. Je wamechukua fedha za vijana H/W serikali ikagoma?

N.k n.k etc mifano kedekede.
 
Sio walimu tuu, hata kada ya afya nako hakuna ajira,
At least watu wa uhandisi wanaambulia sekta binafsi,
Tuombe mungu ili mkuu wa nchi asikie haya maombi
Sio walimu tuu, hata kada ya afya nako hakuna ajira,
At least watu wa uhandisi wanaambulia sekta binafsi,
Tuombe mungu ili mkuu wa nchi asikie haya maombi
yupo kijana analima bustani, lakini you don't see anything to come as a good future to him unamuhurumia.
 
Ndo maana Makapa analeta hoja ya Elimu. Maana ulichikiandika apa kinaonesha hata ww ulihitaji mfumo mpya wa Elimu tofauti na hyo uliyopata.

mfano unasema "nn hatima ya wahitimu katika serikali hii......" NON SENSE. Wewe ulitakaje?? Kwan wamejarb tujituma kwa kutumia Elimu yao serikali ikazuia??.

Nanasi zinazooza mkuranga hawazioni kuzipeleka mjini??
Mbao za Makambako (Kijiji cha Lusisi) unataka zioonezee huko?
Wameomba kuwa agents wa maziwa ya ASAS pale Kilolo Iringa serikali ikakataa??
Wamejarib kulangua dhahabu kwa wachimbaji wadogo huko Bukombe Geita, mji wa Masumbwe na kuuza Kahama Mjini serikali ikagoma?
(Masumbwe Geita 40Km from Kahama mjini dhahabu inauzwa 1gm = 72,000, wakat Kahama mjini 1gm = 100,000 faida 28,000 per gm. Je wamechukua fedha za vijana H/W serikali ikagoma?

N.k n.k etc mifano kedekede.
usijibu hoja kishabiki, capital ni tatizo si wote wanakaa iringa na si wote wanakaa pwani. serikali umeshindwa VIPi kuemploy majority of graduates? tangu 2015 so sad
 
Kila idara serikalini inaupungufu wafanyakazi sio walimu tu. Serikali ya awamu ya tano ni kuteua tu ndicho inachofahamu.Wafanyakazi wanakufa,wanastahafu,vyeti feki wameondolewa ila hakuna ajira mpya ya kuziba mapengo yalioachwa wazi.Ndipo hapo mfanyakazi mmoja anafanya kazi ya watu ata kumi na bila ongezeko la mshahara
 
Kwa masikitiko makubwa sana wazazi na wahitimu wa ualimu wa masomo ya Sanaa katika awamu ya uongozi huu wanaskitika kwani unaonyesha ubaguzi wa Hali ya juu kwa visingizio vya kukuza sayansi nchini.
Hivyo walimu wa arts wanaonekana si kitu chochote na hivyo wameachwa mtaani wengine wakiwa hawajui tena matumaini ya elimu walioipata!

Majibu ya viongozi: viongozi wametoa matamko tofauti kuwa walimu wa arts wanatosha, muda huohuo wanahamisha walimu toka sekondari kwenda shule ya msingi hii ni kudhihirisha upungufu mkubwa wa walimu. Sasa Kwanini serikali isijikite kuajiri walimu wa arts ambao toka 2015 hawajaajiriwa na kuwapeleka primary kuliko kuwahamisha ambao Wapo sekondari toka zamani.

Nini Hatima ya wahitimu katika serikali hii inayojiita kuwa serikali ya wanyonge? ni wanyonge gani ambao serikali inawasemea, nyuma ya hao wahitimu kuna maelfu ya familia ambazo zinamatumaini ya kufutwa machozi ya ada, kulipa mkopo wa bodi ya mikopo ya elimu ya juu, na raslimali zilizotumika kuwekeza katika elimu.

Ombi kwa wabunge: wabunge ambao ndio watetezi wa wananchi wapaze sauti kuikumbusha serikali umuhimu wa kupunguza rate of unemployment katika jamii, kamwe uchumi wa Kati hauwezi kufikiwa kama rate of unemployment is still exist.

Ni muhimu sasa serikali iwaajiri walimu wa Sanaa hata kwa kupelekwa primary ili kupunguza wingi wa wahitimu wasio na ajira Mitaani. Kama serikali ya awamu ya nne iliweza kwa nini hii ishindwe?
Rate of unmployed haipunguzwi na kuajili ambao soko haliwahitaji. So long us bado tunaendelea kusomeshwa wasiohitajika kwenye soko unmployed persons watazidi kuwa wengi. Hapa ushairi ni kuwa ni wakati muafaka wanafunzi kujua mahitaji ya soko na kujielimisha kwenye fani hizo ili wakimaliza wapate ajira
 
wabunge wapi unawaomba? labda kama ni bunge la Malawi

kama watu bado wanamatumaini na wabunge wa nchi hii nawaonea huruma sana.ki ufupi hatuna watetezi tz kilichobaki kwa watz ni kufanya maamuzi magumu uchaguzi ujao.hii ndiyo silaha pekee.
 
Back
Top Bottom