Hoja co badget. Ishu ni wapi tule na walofanikisha sisi tule nao watapata nini? Iyo ndo inayoleta matatizo lukuki, kila m2 heslb ana kula kulingana na cheo na mkuu wake alivyobakisha...
Hii hela sio kodi wala hela ya serekali ni ela ya mkopo toka benki kuu ya dunia kwa kusaidia elimu...
Wazaz msaada kwa hili. Nikipiga hesabu ya ela ya meal, acumdtn, stationry, field n research haitoshi kulingana na amount nilopewa kama fee imejumlishwa t means ni kias gani? Au amount wanayonilipia itatumwa chuo then niongezee? Mlo enda bodi na mwenye ufahamu anisaidie tafadhali..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.