Wanafunzi waliokosa mkopo ina maana pesa hazipo? Mnakubali hivi hivi tuu... Wadau mnaonaje?

Inaonekana we ni fisadi naomba unyamaze kabisa
2015 hampati kura hata chembe

Kwa taarifa yako mi ni mwanachama na pia ni kiongozi. Napigania haki, ila ktk hili. Jaribu kufikiria kuwa bodi ya mikopo wana bajet kwahiyo wanatoa mikopo kutokana na bajeti yao. Samahani kwa kuwaambia ukweli.
 
Kwa taarifa yako mi ni mwanachama na pia ni kiongozi. Napigania haki, ila ktk hili. Jaribu kufikiria kuwa bodi ya mikopo wana bajet kwahiyo wanatoa mikopo kutokana na bajeti yao. Samahani kwa kuwaambia ukweli.

aaaaah! We ndo yule kiongoz mwenye ma-saburi makubwaaaaa, ndo maana! Bas sio kosa lako kiongozi, n maumbile yako. Na ndo mana wachina wana akili sana sababu ya maumbile yao.
 
aaaaah! We ndo yule kiongoz mwenye ma-saburi makubwaaaaa, ndo maana! Bas sio kosa lako kiongoz, n maumbile yako. Na ndo mana wachina wana akili sana sababu ya maumbile yao.

Naheshimu mawazo yako, pia nayapokea kama changamoto kwangu. Ila ujumbe wangu umefika. Serikali inaongozwa na bajeti.
 
Naheshimu mawazo yako, pia nayapokea kama changamoto kwangu. Ila ujumbe wangu umefika. Serikali inaongozwa na bajeti.

Bajet ambayo ina wapa mikopo watoto wa vibopa, na kuacha watoto yatima, watoto waliofaulu vizur,watoto wanaotaka kusoma education,watoto wanaotaka kusoma medicine. Ndo hiyo serikal unayokufanya kutoka mishipa ya shingo kutetea. We na mtu mzima fikiri kabla ya kutoa maamuzi. Unaiaibisha elimu na umri ulionao.
 
Bajet ambayo ina wapa mikopo watoto wa vibopa, na kuacha watoto yatima, watoto waliofaulu vizur,watoto wanaotaka kusoma education,watoto wanaotaka kusoma medicine. Ndo hyo serikal unayokufanya kutoka mishipa ya shingo kutetea. We n mtu mzima fikiri kabla ya kutoa maamuzi. Unaiaibisha elimu na umri ulionao.

Hesabu kuna topic inaitwa probability, board ya mikopo wanafanya random selection, wanafanya wote wenye vigezo wana equal chance ya kuwa selected. Hata hao watoto wa vigogo si wana vigezo?
 
<br />
<br />
hesabu kuna topic inaitwa probability, board ya mikopo wanafanya random selection, wanafanya wote wenye vigezo wana equal chance ya kuwa selected. Hata hao watoto wa vigogo si wana vigezo?

wewe mvivu wa kufikiri acha kuleta ushabiki wakitoto wanafanya probability ili iweje? mbona kuna course zinazopewa priority (medicine, education, agriculture) kaa ukijua wanatoa mikopo kwa vigezo tofauti ndio maana kuna grades(A,B,C,D...)

Sasa huu mwaka wamekurupuka kwanza wametoa pesa ambazo pia watu hawaelewi zinagawanyika vipi kingine watu wamenyimwa mkopo wenye kila sababu ya kupewa ikiwa ni pamoja na kusoma gvt schools kuanzia vidudu mpka chuo na wamefaulu zivuri kingine unakuta m2 uyouyo kapangwa izo medicine.

Wewe inaonekana unayo mdogo wako ambae kabaatika kupewa mkopo na wakati vigezo hana. acha kurudisha wa2 nyuma badala ya kujadili topic husika wa2 wanakujadili wewe... acha izo mambo ww...
 
wewe mvivu wa kufikiri acha kuleta ushabiki wakitoto wanafanya probability ili iweje? mbona kuna course zinazopewa priority(medicine,education,agriculture) kaa ukijua wanatoa mikopo kwa vigezo tofauti ndio maana kuna grades(A,B,C,D...)

Sasa huu mwaka wamekurupuka kwanza wametoa pesa ambazo pia watu hawaelewi zinagawanyika vipi kingine watu wamenyimwa mkopo wenye kila sababu ya kupewa ikiwa ni pamoja na kusoma gvt schools kuanzia vidudu mpka chuo na wamefaulu zivuri kingine unakuta m2 uyouyo kapangwa izo medicine.

Wewe inaonekana unayo mdogo wako ambae kabaatika kupewa mkopo na wakati vigezo hana! acha kurudisha wa2 nyuma badala ya kujadili topic husika wa2 wanakujadili wewe... acha izo mambo ww...

Hapo hakuna topic. Tatizo mnaogopa kuambiwa ukweli. Andamanane sasa.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
hapo hakuna topic. Tatizo mnaogopa kuambiwa ukweli. Andamanane sasa.
<br />
<br />
inaonekana we ni m2 mzima lakin hujui kui2mia akili yako ktk kufikiria ishu muhimu..??
 
&amp;amp;lt;br /&amp;amp;gt;&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;amp;lt;br /&amp;amp;gt;&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
hapo hakuna topic. Tatizo mnaogopa kuambiwa ukweli. Andamanane sasa.
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
sikushangai mtoto wa lubambula uliyesoma kwa kodi za wazazi wetu unaendelea kuchonga ngoJa tukamchome moto J3 ndo ufahamu watu hawahitaji utani kwenye mambo ya msingi, wawaonee haohao wanaowaonea kila siku huna haya hata kidogo una kishipa? Watanzania wote ni sawa kwanini wengine tubaguliwe kwa manufaa ya wachache? Ni bora wangegawa elfu 1o kumi kwa kila mwanaf. Ndipo wajitetee kwamba bajeti. Haiwezekani mmoja apewe milion nne (4000000) mwingine asipewe kabisa ipo wapi hiyo? Na je huo ndo mgawanyo wa matumizi ya keki ya Taifa? na iweje anaekwenda kusoma shahada ya Historia apewe mkopo wa udaktari akose? Kimsingi kuondosha mkanganyiko kwa waliomba kukopeshwa wangewapa kiwango kinachofanana.
Je unadhani ni wote watasoma Ualimu, udaktari, na kilimo? Ikiwa nchi inahitaji wanauchumi, maafisa utalii, m/wanyamapori, wanasheria nk. Hivyo kila fani ina umuhimu wake katika kuchangia uchumi wa pato la nchi yetu. Je ni wangapi wamesomea fani ya Ualimu na wakadumu kwenye fani hiyo hadi kustaafu? Mbona kuna walimu, madaktari, mainjinia, mabwana kilimo nk kule Bungeni? Je ndicho walichokisomea kufanya na Pspa watafanya kazi gani? SIRLIMU acha ukiritimba wa babaako LUbaMBULA, isitoshe mwenyewe ulisoma Ualimu kwa kodi za wazazi wetu unaotutukanisha nao na hujadumu katika fani hiyo, huoni unatukosea? Ni lazima tupewe mkopo, ni haki ya msingi kwa watanzania wote. Je sirikali inataka tukakope kenya ama Nigeria halafu tuje kuifanyia kazi na kuchangia uchumi wa Tanzania yetu? na je watoto wa nchi tajwa wakopeshwe na nani/wapi? Acheni ukimbelembele wa kutoa misaada nchi zingine ikiwa watanzania mnatutelekeza. Kumbukeni kuna zile elf30 kwa kila aliyeomba mkopo pamoja na 10620/- za kuituma bado tuna uchungu zao. Ni vizuri wewe ambaye ulishakopeshwa ukasoma na bado hujarudisha deni ukasoma alama za nyakati kwa kukaa pembeni kabisa usiwe kenge kwenye msafara wa mamba. Sidhani kama utaendelea kuchangia mada hii maana haya yanakutosha upumzike, kuwa haya bana ebo!
 
Acha twende kwa mifano labda tutaeleweka. Na rafiki yangu kapangiwa Tumaini course ni mass communication kapata 3,950,000/= huyu baba na mama wote maafisa ana div 3 ya 14. Kuna T.0 pia kakosa mkopo, kna msichana kapata DUCE kakosa mkopo, kna aliyepata mineral Eng.Dodoma hajapata mkopo. Kuna rafk yangu hana mama na baba kastaafu ana dv 2 ya 11 kakosa mkopo. 80% ya wenzangu ambao tumepata div 2 tumekosa mkopo.watu tumejipinda kupiga buku wanatuletea siasa.Ngoja tuone km hiyo wiki itaisha vizur pale bodi! Maana hawawezag kutoa majibu mazuri mpaka muandike mabango, na kuonyeshwa ITV.
 
Acha twende kwa mifano labda tutaeleweka. Na rafiki yangu kapangiwa Tumaini course ni mass communication kapata 3,950,000/= huyu baba na mama wote maafisa ana div 3 ya 14. Kuna T.0 pia kakosa mkopo, kna msichana kapata DUCE kakosa mkopo, kna aliyepata mineral Eng.Dodoma hajapata mkopo. Kuna rafk yangu hana mama na baba kastaafu ana dv 2 ya 11 kakosa mkopo. 80% ya wenzangu ambao tumepata div 2 tumekosa mkopo.watu tumejipinda kupiga buku wanatuletea siasa.Ngoja tuone km hiyo wiki itaisha vizur pale bodi! Maana hawawezag kutoa majibu mazuri mpaka muandike mabango, na kuonyeshwa ITV.
<br />
<br />
heko, hilo nalo neno! Kama inawezekana tufanye utafiti kwa mwanaf mmoja hadi mwingine tuweze kubaini ukweli wao! Hakuna management bana wanabisha nini? Mwenyewe kila mwaka nashindwa kujiunga na chuo kwa kukosa mkopo. Napata chuo nanyimwa mkopo miaka inasonga umri unakwenda, elimu sijapata ya kuniwezesha kujiongezea kipato. Je huu ni Uungwana?
 
Acha twende kwa mifano labda tutaeleweka. Na rafiki yangu kapangiwa Tumaini course ni mass communication kapata 3,950,000/= huyu baba na mama wote maafisa ana div 3 ya 14. Kuna T.0 pia kakosa mkopo, kna msichana kapata DUCE kakosa mkopo, kna aliyepata mineral Eng.Dodoma hajapata mkopo. Kuna rafk yangu hana mama na baba kastaafu ana dv 2 ya 11 kakosa mkopo. 80% ya wenzangu ambao tumepata div 2 tumekosa mkopo.watu tumejipinda kupiga buku wanatuletea siasa.Ngoja tuone km hiyo wiki itaisha vizur pale bodi! Maana hawawezag kutoa majibu mazuri mpaka muandike mabango, na kuonyeshwa ITV.
<br />
<br />
DUUU, MI IMENICHOMA SANA HUU MPANGO NA MGAO WA MIKOPO...... NIMEANGALIA LIST YA WALIOKOPA NIKAJAWA NA SIMANZI.... NINA UHAKIKA PRIVATE WATAKAOKWENDA NO KAMA10%...... INA MAANA WENGI WATASHINDWA.

HAPA TCU NA BOARD NI MAJUHA..... HAWAKUTOA UTARATIBU MAALUMU WA NANI ANARUHUSIWA KUOMBA.......

MI NADHANI KAMA HELA NI KIDOGO WANGETOA FLAT RATE KWA KILA MTU, IE TWO MILLION ILI KILA MTU APATE

AU

WANGESEMA NO DI ISION ONE NA TWO PEKEE WANAPATA..........

VIJANA, TIKO NYUMA YENU, TWENDEN TUKACHOME MOTO TIRDO HYO JTATU
 
Board ya mikopo inaongozwa kwa bajet. Wanapanga kuwa lazima watumie kias flan, lazma watoe mkopo kutokana na bajeti yao. Kama hamuelewi board ya mikopo nayo inakopeshwa hela kupitia serikalini, Nssf wanaikopesha sana board ya mikopo.
 
Acha twende kwa mifano labda tutaeleweka. Na rafiki yangu kapangiwa Tumaini course ni mass communication kapata 3,950,000/= huyu baba na mama wote maafisa ana div 3 ya 14. Kuna T.0 pia kakosa mkopo, kna msichana kapata DUCE kakosa mkopo, kna aliyepata mineral Eng.Dodoma hajapata mkopo. Kuna rafk yangu hana mama na baba kastaafu ana dv 2 ya 11 kakosa mkopo. 80% ya wenzangu ambao tumepata div 2 tumekosa mkopo.watu tumejipinda kupiga buku wanatuletea siasa.Ngoja tuone km hiyo wiki itaisha vizur pale bodi! Maana hawawezag kutoa majibu mazuri mpaka muandike mabango, na kuonyeshwa ITV.

MM kama mzazi nimeumia sana
mtt wangu div II point 10
kakosa mkopo.
Niko single parent
 
samahani kiongozi nimakosa ya kiufundi yametokea hiyo nilikua na mjibu mwana jf aliyekua anawatetea HESLB,samahani kiongozi
 
kilichobaki kwa inchi hii ni nguvu ya umaa kuongea kwa vitendo kwa sababu bila nguvu hawa jamaa hawafanyi kitu, mfano this year kuna watu wana vigezo vyote vya mkopo hata hali za wazazi wao sio nzuri kipesa lakin bodi imewanyima mkopo mnategemea hawa watu watapataje elimu, au ndo mwisho wao ki-elimu. Tatizo letu mi nikipata mwenzangu akakosa nasema atajijua mwenyewe nasahu leo kwake kesho kwangu, lakin tukiungana kila kitu kinawezekana kama walipata billion 90 kuongezea kwenye bajeti hata hizi zipo tuzidai tu
 
Back
Top Bottom