yeap ni kweli kabisa tatizo kubwa viongoz wetu wengi wana ufinyu wa akili kubadili dar es salaam ni ndoto ya linacha na kutia loss serikali kikubwa ni kuweza kuhama dar es salaam na kutafuta chanzo kingine cha kuweza kusababisha dar watu wapungue
kila kitu huwez kufanya bila ushirikiano na kugawana kidogo ndyo maana hata baba yako na mama yako wanapokupeleka shule usome na ukashika elimu na kuwa katika nafasi nzur n lazima kuwaheshimu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.