Recent content by JM Kavulla

  1. JM Kavulla

    Tetesi: Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam katika Serikali ya Awamu ya Tano Paul Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa Shinyanga

    Vp kwa kuteuliwa kuwa mwenezi wa Ccm hujatembea uchi mpaka msamvu?Kwa hiyo file lake bado limepigwa mhuri sio?
  2. JM Kavulla

    Kwanini CHADEMA wanabezwa baada ya kurudishwa kwa mikutano ya siasa?

    Unauhakika siasa ndio ina ibeba hatima ya maisha yako??
  3. JM Kavulla

    Tetesi: Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam katika Serikali ya Awamu ya Tano Paul Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa Shinyanga

    Una uhakika gan kama atachukiwa na watanzania wote??mimi nitaendelea kumpenda
  4. JM Kavulla

    Wapiga picha wa Azam Media wana elimu Gani? Au wanafanya kusudi

    Ulishawahi kuongea na Mungu ukajua ana taka nini?
  5. JM Kavulla

    GE2020 Ya Membe na kina Zitto, mpango ni CHADEMA kife

    Chadema mnalaumu nini?Adui mkubwa wa Upinzani ni Chadema (Mbowe),kwa sasa hakuna chama cha upinzani kingependa kuungana na Chadema,mwaka 2015 NCCR na CUF viliungana na Chgadema (UKAWA)kwa waliofatilia nini kilichotokea kwa hivo vyama?safari hii kila chama kimeona kipambane kivyake,kwa sababu...
  6. JM Kavulla

    GE2020 Kama Mbowe anataka Membe ndio agombee urais ina maana hamuamini kabisa Tundu Lisu!

    Kwa tamaa za Mbowe haishangazi kuona Membe anagombea Urais kupitia Chadema Sent from my B-TOUCH10 using JamiiForums mobile app
  7. JM Kavulla

    Wizara ya Elimu liwekeni sawa hili la watoto kutoka shule saa 11:30 jioni

    Mbona mda uludi kama zamani,au nikwa shule anayosoma mwanangu tu Sent from my B-TOUCH10 using JamiiForums mobile app
  8. JM Kavulla

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Asante,nimekuelewa Sent from my B-TOUCH10 using JamiiForums mobile app
  9. JM Kavulla

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Ndugu zangu mi nina mtaji wa kiasi cha milioni tisa lakini kusema ukweri sijui nifafanye biashara gani,na hii yote nikwa sababu sina uzoefu na biashara,na kwenye hili lazima niwe mkweri,ninaishi hapa Kibaha Pwani Sent from my B-TOUCH10 using JamiiForums mobile app
  10. JM Kavulla

    Karibuni tuelekezane jinsi ya kuweka akiba

    Mada nzuri sana,lakini hutoona wajuzi wakitoa mawazo ili na sie tupate kuelimika
  11. JM Kavulla

    Maisha ya huku Kijijini nchini Rwanda yananifanya niwe mbali kwa muda sasa na wana JamiiForums na kiukweli nimewamisi mno

    Simba Sport Club ndo bingwa kwa sasa Tanzania Bara,Na Rais wetu mpendwa wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mh JPM yuko njema,anachapa kazi ile mbaya yaani utadhan ndo ameapishwa leo kwa jinsi anavyochapa kazi
  12. JM Kavulla

    Picha: Nairobi panazidi kunoga, tukuone ukitupa taka na kutuchafulia mji

    Mana majivuno sana lakini mna dhiki sana,tukiwafungia mipaka full kulialia tu,cgezea njaaa,asisi huku Tanzania hata tukijifungia tunachakula cha kutosha sana
  13. JM Kavulla

    Joseph Kusaga: Sijaanzisha Wasafi Media

    Hakuna unachokijua
Back
Top Bottom