Hakuna team hisiyofungwa kuna mtu UEFA alichezea mkono Jana MTU kala NNE ndo mpila huo sasa Uwanjani unashindwa unalazmisha za mezani kisa kimipangomipango mi nasema hao ndo wanaturudisha nyuma kwenye soka letu SIO Jamal Malinzi anayepigana kutuundia soka LA Vijana na wanawake wawe tegemeo LA...
Simba wana kikundi kidogo cha viongozi wahuni hao ndo wanatualibia soka letu LA Tzee ,Eti Leo wanadiriki kusema watamwaga mbonga sasa hayo madudu walikua wapi siku zote iwe Leo?Ifike kipindi Viongozi wa Mikia waache Siasa za kuwaongopea wanachama na mashabiki wao maana wamekua ni watu wa kupenda...
Hakifanya Kazi kwa mujibu Wa sheria sizani kama nikosa na nafikiri akitumbua atakuwa anapata swawabu kubwa kwa Mungu maana bado atakua anawasaidia wananchi wenye kuitaji maendeleo na kwa kipindi hiki tunashauriwa kuwasidia wenye kuitaji.Mi naona ndo kipindi bora kabsa cha kufagia wale wasiotenda...
Mkoa wa Pwani haswa maeneo ya mkuranga, Kibiti, kimanzichana na Ikwiriri nasasa Jaribu, watumishi wamekua kwenye wakati mgumu sana katika utendaji kazi wao
Serikal inabidi iliwekee mtazamo wa kina sana maana imekua hatari Sana. Mauji yamekithiri Sana,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.