Recent content by jitazame

  1. J

    Rais Kikwete Matibabu Marekani: Story ya Jaribu Ujinga

    Hili jitu ni jinga sana aiseee
  2. J

    'No one will prevail over Russia militarily': Putin eyes $700bn to advance Army

    Vladivostock russia imetenganishwa na bahari tu na usa kwa hapo ni direct battle na russia tujifunze ramani
  3. J

    Why blacks?

    Vp kama walikuwa vipandikizi vya magharibi kama tulivyoona na kujiidhiirisha kwa kiongozi mkuu wa upinzani nchini zimbabwe. Kugawa ardhi kwa wazimbabwe weusi zilizoshikiliwa na wazungu lakini uhuru una malipo je kiranga sijakuelewa
  4. J

    Makonda kamwombe radhi Warioba , vinginevyo vijana tutakutenga

    Tumefundishwa kutii watu walituzidi umri kwa yaliyo mema kabisa ,je mwajua tafakuri yake kichwani labda anaona sio sahihi ,halafu utamtengaje wakati ni jambo linalokubalika na tawi lake la vijana amka kijana timiza ndoto zako tuache utoto
  5. J

    Nakerwa sana na ujinga wa Watanzania

    Mtanganyika ni kivuli na tanganykka itadumu milele kwa hiyo maendeleo ya taifa ni muhimu kuliko binafsi, fikiria huduma za afya zimeboreshwa je ni familia yako tu itayonufaika au ni ukoo wako wote, Halafu hakuna ukoo tanganyika hii ambao wote ni mboga nane. Hivyo maendeleo ya taifa ni muhimu...
  6. J

    Nakerwa sana na ujinga wa Watanzania

    Kwa sababu tunajua mbinu za kupata pesa tulizofundishwa toka kata ya mkanyageni
  7. J

    Mizengo Pinda ni Mtu wa Ajabu Sana

    Njoo mpanda huku na sumbawanga ndo huseme hayo kama tutawaelewa hatukupata barabara ya rami mpaka tumemweka kijana wetu ,viva pinda kwa uadilifu, kuwa rahisi uimalizie toka mpanda mpaka kigoma na ile ya tabora
  8. J

    Kiini cha Falsafa, dini za Uislamu na Ukristu ni Afrika

    Haa ina maana waafrika ni jamii moja tu ya wabantu ina wakushi na hamit sio jamii yetu, bush meni na negro
  9. J

    Ally Kiba ni Messi, Diamond Ronaldo

    Mh mh mh watu wa dar mnachekesha sana, observation ipi ulioiona wewe ,ya kwenye fiesta? Hizo ni porojo tu, Kuwa fananisha huyu ni ronaldo na huyu messi tayari uko biase kwa sababu hata kwenye mpira hatuamini kama messi ni mchezaji bora kuliko ronaldo ila anabebwa na fifa na mfumo uliopo kwenye...
  10. J

    Hivi mbona sisi wanadamu hatuna mikia eti?

    Mbona sokwe mtu hana, giant panda hawana, sokwe wa kawaida hawana ulizungumzia wanyama gani vile
  11. J

    Ally Kiba ni Messi, Diamond Ronaldo

    Unataka kusema nn, eti kwamba uko neutrality hakuna kitu kama hicho duniani, huwezi hata siku moja kufananisha kupendwa kwa kiba na nature point yako haina maana. Je kwa research ipi uliyoifanya, kwa ukubwa gani, mikoa mingapi uliyousika. Ay kabla hajaanza kujipambanua kimataifa alishapotea...
  12. J

    Ally Kiba ni Messi, Diamond Ronaldo

    Ila siamini kama kiba ni msanii mwenye sauti nzuri bongo hata kidogo, msikilize dull sykes kwa ukongwe wote ule. barnaba wamweka kundi gani, ila zinazovutia kuzisikiliza wapo kina steve rnb, belle 9,jux na wengineo kiba bado. Ila kiba alitumia ombwe lililokuwapo kwenywe muziki wa bongo fleva...
  13. J

    Why do we believe in scriptures ?

    Humjui ishmael yeye yupo kama punguani kumradhi wana jf hanaga point zaidi ya kutetea hata kisicho sahihi ila kiwe kimetajwa na slave master wake
Back
Top Bottom