Recent content by jino1

  1. jino1

    Dodoma: Tundu Lissu agoma kutoka nje ya Mahakama akihofia Polisi, wamshauri atoke hakamatwi..

    Hezi kesi za kukurupuka kwakua tu mtu katoa maoni Juu ya kile anacho kiamini sasa imekuwa kero, tujiulize tena kama inafaida Kwa ccm au asara. Huku mtaani raia ambao ndio wapiga kura wenu mnawakera sana... Wanataka viwanda na sio kukamata Sent using Jamii Forums mobile app
  2. jino1

    TID kumburuza Steve Nyerere mahakamani

    Joto hilo ..
  3. jino1

    Siku 100 Za Rais Magufuli Zinavyojadiliwa na Wadau

    Serekali ya fukuza fukuza bado nimepema Sana.... Kuanza kumsifia Safari bado ni ndefu. Bado najiuliza maswali ya kutumbuwa majipu Kama kweli haya majipu yanayo tumbuliwa nivipele au majipu kweli? Mikataba ya madini mikataba ya gesi nk.. Nadhani ndio yengekuwa...
  4. jino1

    Lowasa aanza kuwachezea rafu CHADEMA, alazimisha atengewe nafasi 30 za Wabunge

    Tulianza na MUNGU tutamaliza MUNGU IKULU NI YA WATANZANIA WOTE
  5. jino1

    Mada Moto Channel Ten: Julius Mtatiro vs Humphrey Polepole

    Polepole anajitekenya na kucheka mwenyewe. Ha ha ha ha...hili kabila la ccm nihatari sana...
  6. jino1

    Mada Moto Channel Ten: Julius Mtatiro vs Humphrey Polepole

    Leo sijui polepole ataongea nini!!! Mafuriko ndio yamesha ingia mtaa kwa mtaa pakutekea hana.
  7. jino1

    Kuna mtu anajua CMYK color code za Pen ya Blu na Nyeusi

    Tuke kwenye harakati zakumpata rais wewe unaleta mambo code colers?
  8. jino1

    Tathimini ya Leo, Lowassa V/S Magufuli

    Kuyazuia mafuriko kwa mkono nikujidanganya hapo ndipo ccm walipo bugi. Kilakona ya mtaa LOWASSA ndio habari inayo tawala
  9. jino1

    Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

    Pongezi nyingi kwa mpija picha wasikuile, kama dr slaa singeonekana kwenye mkutano wa kumpokea rais mtarajiwa E.L ccm wangepata cha kuongea
  10. jino1

    Dr. Slaa atakuwa adui namba 4 kati ya maadui wa 3 wa Mwl Nyerere

    Nilikua na mheshimu na kumwamimi dor katika mabadiliko ya kweli. Kama yeye amnaweza kujitoa ukawa basi hatafaa kuwa kiongozi hata wa nyumba kumi. Tunahitaji mabadiliko na siyo mambo ya mke ukawa tutasongabele daima.
  11. jino1

    Zitto Kabwe na Moses Machali wafunika Kigoma Mjini

    Duu!! Huyu ni zitto kweli!! Mbona kama wameedit hii picha ? Kama ni yeye abadili mwelekeo haraka sana.. kabla hatujasema tulimpenda na act ilimpenda zaidi
  12. jino1

    Nape Nnauye ahojiwa na TAKUKURU kwa masaa 5

    Bora abaki hukohuko kwasababu ,vyombo vya habari vinamtafuta ajibu hoja za chama. Sasa sijui atajibu nini!!.. kuusu kabila lake kwasababu alikua analificha nakujipa kabila lisilo lakwakwe . Sisi tumesha jua yeye ni kabila la mccm.
  13. jino1

    Rais Kikwete apigiwa Simu ya Dharura arejee Ofisini

    Usijifanye unajisaulisha kwasabubu tu ulikua kambi flani ? Kama nyerere aliitwa kwa dharura ili kukinusuru chama, iweje jk asiitwe wakati ndio mwenyekiti wa ccm na raisi wa nchi. Acha mazoea....ya simba na yanga.
Back
Top Bottom