Kwanza katika hizo picha Dr. Slaaa anamwangalia Edo akiwa na hasira kali kama wale wananchi ambao hupiga watuhumiwa na kuitwa wananchi wenye hasira kali!Yaani majadiliano na picha ya siku moja ndio ushirikishwaji huo?
Je wanachama waliosusa mna picha zao na lowassa?
Dr kajenga chama chenye nguvu ya kuitoa ccm pale magogoni anataka nn zaidi?
Dr kajenga chama chenye nguvu ya kuitoa ccm pale magogoni anataka nn zaidi?
Yaani majadiliano na picha ya siku moja ndio ushirikishwaji huo?
Je wanachama waliosusa mna picha zao na lowassa?
Mkuu siyo busara kumlaum yeyote Dr. anayo haki ya kukubali au kikataa mawzo ya wengine na hiyo ndio democracy na wala sio uhasama. UKAWA DAIMA.Yapo mambo yanatokea na yanakuwa ni mpango wa mungu
Kuna dhana inajengeka kama Dr slaa hakushirikishwa kikamilifu kwenye maamuzi ya kumpokea Lowassa Chadema
Lakini leo napenda nitoe pongezi za dhati kwa yule kamanda aliyepata wazo la kumpiga picha Dr slaa akiwa na wenzake kwenya kamati kuu.
Na hiyo ndio imegeuka fimbo kuu ya kumfunga Dr mdomo,La sivyo angeweza kutuadaa kuwa maamuzi yaliyofikiwa hakushirikishwa na niya mwenyekiti pekee
Pongezi nyingi zimwendee yule kamanda aliyepiga picha zile zimetuondolea utata mkubwa sana
Na hiyo ndio mipango ya mungu huwa lazima itimie hata kama kutakuwa na vikwazo vya shetani.