Recent content by jingus

  1. jingus

    Sheikh Jongo asema ujenzi wa msikiti wa Kinondoni haukuombwa na Hayati Magufuli kama ilivyodaiwa

    Wakati mwingine jitahidi kufanya utafiti kabla ya kusema jambo!!!!! Akili za kuambiwa changanya na zako
  2. jingus

    Sisi watumishi wa umma tutasimama na mama 2025

    Sema wewe utasimama sio sisi Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
  3. jingus

    Mume amfikisha mahakamani mkewe kwa kupeleka mshahara wake kanisani

    Bado hayajawapata yakiwapata mtajua kwanini imetokea hivyo Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
  4. jingus

    Computer4Sale Laptop inauzwa

    150k upo tayari
  5. jingus

    Naomba kuelekezwa wakuu ndani ya Dodoma

    kama upo sabasaba panda daladala za kwenda mnada mpya mwambie konda akushushe nyanza road au panda daladala za nkhuhungu shuka kituo cha four way kisha chukua boda si mbali na hapo
  6. jingus

    Usiyoyajua kuhusu Tundu Antipas Mughwai Lissu

    zimebaki ngapi mkuu?
  7. jingus

    Msaada: Hawala anataka tugawane mali

    kwa mjibu wa sheria zipo ndoa za aina tatu,moja ndoa ya kiimani yaani kanisani au msikitini,pili ndoa ya bomani au serikali na mwisho ndoa ya kiimila hii ni lazima upate baraka za wazazi wa pande zote ikiwa ni pamoja na kulipa mahali . kama mulipitia ndoa kati ya hizo tatu basi ana haki ya...
  8. jingus

    Tetesi: Waziri Ummy Mwalimu amepokea ripoti ya ukaguzi wa maabara ya taifa kimya kimya!

    Kumbe tarehe 13/5/2020 imeshafika? Sent using Jamii Forums mobile app
  9. jingus

    Msaada ya kisheria kwa tatizo la ardhi

    Nenda kwa mwanasheria yeyote atakujazia fomu au maombi ya kaza hukumu ( application for execution) kisha utaiwakilisha katika baraza la ardhi na nyumba wilaya!! Utafunguliwa maombi madogo ( misc application) na itatolewa hati ya kumwita huyo jamaa aje aeleze kwanini hukumu isitekelezwe Sent...
  10. jingus

    Mwanaume wa mkoani mwenye haja ya mtoto

    Ingia inbox kwa kila aliyecoment hapa uone yupi anakufaaa Sent using Jamii Forums mobile app
  11. jingus

    Je, ni kweli ukioa mwanamke Mtutsi lazima apandikize mtoto wao kwenye watoto wako?

    Tupeni sifa zao ili tuweze kuwakwepa Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom