kama upo sabasaba panda daladala za kwenda mnada mpya mwambie konda akushushe nyanza road au panda daladala za nkhuhungu shuka kituo cha four way kisha chukua boda si mbali na hapo
kwa mjibu wa sheria zipo ndoa za aina tatu,moja ndoa ya kiimani yaani kanisani au msikitini,pili ndoa ya bomani au serikali na mwisho ndoa ya kiimila hii ni lazima upate baraka za wazazi wa pande zote ikiwa ni pamoja na kulipa mahali .
kama mulipitia ndoa kati ya hizo tatu basi ana haki ya...
Nenda kwa mwanasheria yeyote atakujazia fomu au maombi ya kaza hukumu ( application for execution) kisha utaiwakilisha katika baraza la ardhi na nyumba wilaya!! Utafunguliwa maombi madogo ( misc application) na itatolewa hati ya kumwita huyo jamaa aje aeleze kwanini hukumu isitekelezwe
Sent...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.