Wandugu habarini,
Jamani hamna kitu kibaya kama mapenzi ya kulazimisha maana nahisi nateseka sana kuwa na mtu ambaye siendani naye kitabia,maana tangu nimekuwa na huyu mwanaume sina amani kabisa sababu yeye ni mtu wa pombe starehe hata hawazi maendeleo mimi kwaupande wangu kiukweli hii tabia...
naamini wote mu wazima wa afya.
kama kichwa kinavojieleza hapo juu naombeni ushauri wenu nifanye nini coz kila anayenitongoza namuona hafai hata kama ni mtu mwenye hela zake.
mimi huwa nina tabia ya kuangalia sana tabia ya mtu sasa kila anayenifuata naona hana vigezo na wengi nawaona...
click hiyo link hapo chini upate kufahamu Mh. January Makamba amesema nini kuhusu tozo ya kodi kwa line za simu.
HIZI NDIO HABARI NJEMA KUHUSU TOZO YA KODI KWA LINE ZA SIMU KUTOKA KWA JANUARY MAKAMBA « WORLD NEWS
habari wana MMU...ni matumaini yangu kuwa mu wazima wa afya.
ningependa kuwashirikisha hili coz najua nitapata mawazo mbalimbali ya kujenga na si kubomoa hivyo naomba michango yenu ya dhati.
imepita miaka kama saba hivi tangu nimeachana na niliyekuwa nikimpenda kwa dhati na mpaka sasa...
habari wana jf....natumaini mu wazima na weekend mmeianza vema.
naombeni michango yenu ya dhati ili niweze kubadilika, mimi huwa nashindwa kujielewa nina matatizo gani nimekuwa na kitabia cha uoga uoga kiasi kwamba siwezi kukaa sehemu yenye watu wengi na nikikaa sehemu hiyo basi ujue sitaongea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.