Jamani hawa viumbe sio rafiki, Mimi jiliulizwa km hivo na mengine mengine nimeambulia kuletewa mimba nyumbani. Hivi nimeamua kukimbia nyumba yangu ili nisije UA mtu nikafungwa. Ukiona mke anadai vitu vya ivo kambali naye ila ukiona anakusogezea Fanya sanaaaaaa.
Mwaka unaishia ila kunajambo linanikwaza hadi natamani nisiuvuke mwaka.
Jambo lenyewe nimedumu ktk mahusiano na binti ambaye Mungu ameonesha ufundi wake ila ANANUKA kinywa.
Je, nifanye nini tatizo liishe niendelee kufaidi utamu wke?
Nikimwacha naona km nakufuru uumbaji wa Mungu.
Wajuzi mnisaidie
Pole sana member wa jf. Ila hilo linakuumiza coz unajiona wewe tu mtaani wanawake kibado wamekeketwa sema tu hahajijui na ukiwambia wanabisha. Mke wangu mchaga kakeketwa alikua hajijui nilipo lala nae kwa Mara ya kwanza nikamwambia akashangaa nakumuliza dadake akaprove. Usihofu sawa na kuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.