Ni nani mmiliki wa mimba?

Ni nani mmiliki wa mimba?

Wote ni wamiliki kwa sababu mimba inatafutw na wawili wote saa kam mtu anatak yake peke yak ajipe mwenyewe
 
Ukipanda mbegu zikaota hadi zikakua halafu ukavuna, nani atakuwa mmiliki wa hiyo mali?
 
Mimba ina 46 chromosomes nusu kwa baba na nusu kwa mama hivyo wote ni wamiliki ila kwa kuwa mmbebaji ni mama inaonekana kama mmiliki ila ni wote. Hakuna mwenye hati miliki peke yake
na ikitokea mgawanyo wa chromosomes ukaenda ndivyo sivyo ??
 
hebu mpe mimba mwanafunzi halaf ukamatwe utajua mimba ni ya nani...!!!
 
Watu wamevurugwa mpaka wanamtafuta mmiliki wa mimba. Mzee legeza kidogo

Na mrithi wa mimba nani pia?
 
Back
Top Bottom