Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa
Wazazi wengine wanaandika MBWA?MKALI kwenye geti lao kama binti wao ana miaka 18..
Binti akifika miaka 30 na hajaolewa wanapabadilisha na kuandika TUNAUZA BARAFU
Naendelea kubeti tusua mapene ila sjabahatika bado, sasa sijajua hao wanaoshinda wao wanachezaje mana nacheza sana hadi nakata tamaa mana sijashinda hata buku nananunua sana vifurushi vya mwezi ila bado nakaza buti
Kwaupande wangu sina mashaka na mtandao wa voda pamoja na washkaji ila boresheni huduma ya tusua mapene angalao muwe mnatoa zawadi ndogo ndogo kama mlivyofanya katika mgao wajanuari ili kututia moyo tunaonunua kete yakifurushi cha mwezi kwanjia yadiskauti,kwakua wanaonunua kifurushi cha mwezi...
Polen sana mnao lalamika,kiukweli,mm natumia lain yavoda kwa mda mrefu sana kwaupande wangu sjaona tatizo nanatumia huduma zote ikiwemo mpesa.nnacho waomba vodaCom wajaribu kuboresha huduma ya tusua mapene angalao wawe wanatoa zawadi ndogo ndogo haswa tunaonunua kete kwa diskaunt kwanjia ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.