NI ajabu kutangaza msamaha kwa watu ambao wewe ndo wanatatikwa kukusamehe. Dunia hapa tunapita tu tutafuteni ridhiki kwa halali so kwa kujipendekeza na kuwachomea wenziyo waharibikiwe wewe upate kula. Ukweli anaujua kabendera na Mwendesha mashitaka. Mambo mbuvu mbovu ya mtu kujitokeza na kusema...
vipi kwenye maombi ya lissu?, matisho yako yalisaidia kuwanyamazisha waombaji wenye kumuombea lissu kupona?.unasemaje kuhusu kupona kwa lissu licha ya wewe kuwatisha na kuwaonya wale wote waliokuwa wanamuombea apone?, je unahabari jamaa kapona licha ya risasi zote zilizompata mwailini na...
Nilkuwa sijui kama kuna kura yangu inahitajika, baada ya kuambiwa tu nimekuja mbio mbio nakulog in, sekunde mbili tatu zikatumika kwenye kusoma maelezo ya mleta mada hapo juu, nikabonyeza kibonyezea ikaita melo mwanaume, ndo kiongozi, hafu tena kiblog, jamii forum, wengine siwajui na na hata...
mwandishi kasema Pena wa kukaa naye mbali, wewe unasema Nape, mimi ninavyoujua waliomsnitch bwana mkubwa wako wengi ikiwemo na huyu Pena wa kukaa naye mbali, Kama Nape naye mzee wa bunge live gharama kwa srikal na gavu gavu aka a system of the peole on the behalf of the the people, kama naye...
Hongera zake nyingi zimfikie popote alipo, na tuzo hiyo imfanye kuelewa licha ya kwamba kunawatu ambao hawapendezwi na kazi zake ila kuna watu wanapendezwa nayo, na do maana wameamua kutoa Tuzo kwake. Pili awazue ya kwamba dunianin kuna nchi nyingi potelea mbali ule uwingi wa majukwaa huru...
Asante Baabaa!!, Endelea kutulinda tusimezwe na manyoka ambayo kila kukicha yanatusaka yapate kutumaliza,mazima mazima, tunakutegemea sana baaaba!!, maisha yetu yapo mikononi mwako ukilegea kidogo tu tumesha, yanahasira sana na sisi na yanahsira sana na hili jukwaa kwani ndo pekee lililobaki...
Bwana Yesu asifiwe.
Mada hapo juu yajieleza bayana. Nachukua nafasi hii adimu japo kupitia jukwaa hili huru inawezekana kuwakumbushieni nyinyi nyote mnaoijina na mliojivika utukufu wa Mungu, mnaofanya maamuzi ya kuwatesa wengine, mnaotumia vyeo na nafasi zenu vibaya kwa ajili ya kuwatesa wengine...
unamutofautishaje mchina na huyo mzungu mnayemwita beberu, kwa taarifa yako ni kheri ya mzungu kutoka kwingine atakuendeleza japo anakuibia kuliko mzungu wa kichina huyo ni mporaji,very exploitative man zaidi ya shetani
hafu hii tabia ya kuwaita wazungu wapingapo ama kushauri jambo kuwa ni magulyati,mang'ondi,mabhuli,makolo,mayobhe,magoko,mabiti,mawaa nk. imepokelewa na mijitu ya ovyo vibaya, ila menyewe yakiitwa nyani, shimo la choo nk, yanadai kubaguliwa. yaani mnaudhi sana,utamwitaaje mzugu beberu na...
mwenye kutafta huruma/ kiki/jina ama ujiko na atafte ila hilo haliondowi haki ya kuwafanya watu wasitie neno, kuunga, kupaza sauti na kupinga palipo na ukiukwaji wa haki ya mtu, hata kama ungekuwa wewe fala tungesema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.