king kan
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 1,629
- 2,043
Kisa cha Askofu huyu kipo kwenye uzi huu. Japo ni cha zamani sana.
Zoezi la Wahamiaji Dar ni double standard!
Zoezi la kuwakamata wahamiaji haramu Dar limemkwepa Askofu Mkombo ambaye licha ya kwamaba ni mhamiaji haramu lakini amefoji cheti cha kuzaliwa na kufijo passpoti mda mfupi baada ya kumuoa Mfanyakazi wa serikali Ilala . UMAFIA WA ASKOFU MULLILENGE MUKOMBO AU MKOMBO MUYUNDI FIDEL Bw...
www.jamiiforums.com