jilogamawepyee
Member
- Aug 11, 2018
- 57
- 48
Bwana Yesu asifiwe.
Mada hapo juu yajieleza bayana. Nachukua nafasi hii adimu japo kupitia jukwaa hili huru inawezekana kuwakumbushieni nyinyi nyote mnaoijina na mliojivika utukufu wa Mungu, mnaofanya maamuzi ya kuwatesa wengine, mnaotumia vyeo na nafasi zenu vibaya kwa ajili ya kuwatesa wengine na kuwakomoa wengine, mnaofanya maamuzi ya kupitisha sheria za ovyo ili kuwasurubu wengine na ili mpate kuzuia wengine wasipumue kimawazo, kikuongea, na mengine mengi yenye kufarikisha, kujerukisha, kufungangisha na kuzuwaisha. Mnaofanya hayo yote ama kwa kulinda nafasi zenu au kuwafurashisha wateua basi leo nawakumbusheni muda wa kuteswa kwenu, kulia kwenu na kulegemeshwa kenu kumekaribia kabla hata ya Mungu hajawachukueni(hamjafa kwa mapenzi ya Mungu).
kumbukeni ya kwamba:-
a).Muuaji huuliwa
b). mtesaji huteswa
c).mkiuka hukiukwa
d). mkata hukatwa
e). katiri hukatiriwa
f). mnyofoa hunyofolewa
Muwe na wikendi njema
Mada hapo juu yajieleza bayana. Nachukua nafasi hii adimu japo kupitia jukwaa hili huru inawezekana kuwakumbushieni nyinyi nyote mnaoijina na mliojivika utukufu wa Mungu, mnaofanya maamuzi ya kuwatesa wengine, mnaotumia vyeo na nafasi zenu vibaya kwa ajili ya kuwatesa wengine na kuwakomoa wengine, mnaofanya maamuzi ya kupitisha sheria za ovyo ili kuwasurubu wengine na ili mpate kuzuia wengine wasipumue kimawazo, kikuongea, na mengine mengi yenye kufarikisha, kujerukisha, kufungangisha na kuzuwaisha. Mnaofanya hayo yote ama kwa kulinda nafasi zenu au kuwafurashisha wateua basi leo nawakumbusheni muda wa kuteswa kwenu, kulia kwenu na kulegemeshwa kenu kumekaribia kabla hata ya Mungu hajawachukueni(hamjafa kwa mapenzi ya Mungu).
kumbukeni ya kwamba:-
a).Muuaji huuliwa
b). mtesaji huteswa
c).mkiuka hukiukwa
d). mkata hukatwa
e). katiri hukatiriwa
f). mnyofoa hunyofolewa
Muwe na wikendi njema