.
Wakuu,
Mbona mnashambulia sana mleta maada?Hayo ni maoni yake tu.
Kumbuka uchaguzi wa mwaka 2005,Sheikh Yahya,alitabiri kuwa mshindi katika ushaguzi huo angekuwa mwanamke.Na baada ya JK kushinda, Yahya ,alisema alikuwa na maana ya mshindi mwenye mvuto wa mwanamke.
Kwa hiyo inawezekana mleta...