Recent content by jilala

  1. J

    GE2020 EXCLUSIVE: Maswali kwa Mgombea Urais wa JMT, Tundu Lissu kutoka kwa Watanzania watumiao mitandao ya kijamii

    Tundu Lissu. Swali langu. Uchaguzi wa mwaka 2015, Centre ya kuhesabia matokeo ya urais-CHADEMA ilivamiwa na Polisi na vifaa vyote kama Computer zilichkuliwa. Vipi uchaguzi wa mwaka huu mmejipanga vipi? Mnaonaje Centre kama hiyo ikawa nje ya Tanzania?
  2. J

    Jerry Silaa amesahaulika sana, napendekeza apewe ukuu wa mkoa wa Dar

    Apewe Dr Semistatus Mashimba.Mkurugenzi mtendaji wa wilaya ya Chemba. Kijana msomi na asiyekuwa na kashifa.
  3. J

    Kama Taifa tujitafakari, ni haki neno "dot.tz" ikulaze rumande?

    Hawa jamaa watalaniwa na serikali yao
  4. J

    Nape: Jitegemee Trading Company ni mali ya CCM, lakini...

    Kageuka Mbona Mwandishi wa hii post ni Harrison Mwakyembe Mwenyewe?.Yaan hawa jamaa ni wasanii kweli kweli.
  5. J

    Waliotumwa kumuua Dr. Ulimboka wapata PIGO Afrika Kusini

    Hute, Hawakutaka kumuua kwa sababu walitaka awaambie ni nan anayefadhili mgomo wao?Kama unasikiliza vyombo vya habari,CCM na serikali yake, wanaimba kila siku kuwa mgomo wa madaktari unafadhiliwa na kikundi fulan na ndiyo hichohicho watekaji walikuwa wakitaka kujua.Wasingeweza kumuua bila...
  6. J

    Dr. Mwakyembe na Dr. Slaa watishiwa kuuawa

    . Proffesional killers wangetumia gari za wizara? shame
  7. J

    Dr. Mwakyembe na Dr. Slaa watishiwa kuuawa

    Kazi ni kubwa mbele yetu Watanzania. 1.Ilikuwa achomwe kisu na kijana mmoja kule wilayani kwake. 2.Ilikuwa agongwe na lori kule Iringa 3.Anataka kuuliwa na wasomari. Sisi JF; Ndiyo mzee,huyo ni RA.
  8. J

    JK Kutangaza wakuu wapya wa Mikoa?

    . Kweli Edward Lowassa ana kazi kubwa sana. amesemwa kwenye uwaziri,lakini hatujaona jina lake.leo jina lake limeamishiwa kwenye u- rc.Kazi kweli wana jf.
  9. J

    Utabiri wa Sheikh Yahya Hussein watimia

    . Wakuu, Mbona mnashambulia sana mleta maada?Hayo ni maoni yake tu. Kumbuka uchaguzi wa mwaka 2005,Sheikh Yahya,alitabiri kuwa mshindi katika ushaguzi huo angekuwa mwanamke.Na baada ya JK kushinda, Yahya ,alisema alikuwa na maana ya mshindi mwenye mvuto wa mwanamke. Kwa hiyo inawezekana mleta...
  10. J

    GE2010 Kyela elections!

    . Nakumbuka maneno ya Judith Wambura,Kuwa kusoma ni kitu kingine na kuelimika ni kitu kingine. Huyu jamaa nafikiri hajaelimika na watu kama hawa ni hatari kwa kizazi kijacho.Kwa madudu haya anayotuletea hapa,sidhani kama lile kundi la mwakalinga litakuja kuliheshimu tena kundi la mwakyembe...
  11. J

    GE2010 Kyela elections!

    . Tatizo ni lack of understanding. Hakuna anayekukataza kuamini maneno ya Malfyale na kukulazimisha uamini maneno ya afande samwel.lakini ukweli utabaki palepale na points zako na ushauri wako,ninaona kama na wewe kuwa kigeugeu. Kadi feki za mwakayembe ziliandikwa na afande samweli na magazeti...
  12. J

    GE2010 Wazee wamgeuka Malecela - Wanataka Asigombee Ubunge

    Mwache mzee akapumzika. Amelitumika taifa lake kwa heshima zote na sasa mwaache apumzike na sio wa kumcheka.
  13. J

    GE2010 Kyela elections!

    . Nakubalina na wewe mkuu
  14. J

    GE2010 Kyela elections!

    . mhhh.yatasemwa mengi sana hapa juu ya mwakalinga. La mwakalinga kuhusishwa na ubunge,lilianza kabla ata jf haijaanzishwa.ukiangalia post za huko nyuma ni kwamba mwakalinga aliwahi kugombana na mwakipisile,akimshitukia kuwa kwanini anasaidia jamii ya kyela na kwamba pengine anataka ubunge...
  15. J

    GE2010 Kyela elections!

    . Jamaa huyu katumwa nini. Jilala ni jilala au magoli na Afande Samwel ni Afande Samwel.Acha kinifananisha mimi na watu Ndiyo maana ninasema .Wewe ni mpishi tu Mwaka 1990,Morovian kyela,waliamua kujitenga na kunyang'anya baadhi ya makanisa na Mwaka 1992 chini ya askofu mwakijambile,wakasajili...
Back
Top Bottom