steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 9,572
- 10,275
Mdogo wangu nilikuacha la tano b miaka ile sikujua kuna wakati ungekuja kujulikani hivi ila mola atakutoa mkuu tupo nyuma yako nilikuwa nje mda mrefu nimeingia jana naambiwa wewe ni mharifu napata shida kidogo
Huyu jamaa anapakaziwa uhalifu,wahalifu wenyewe kama wauza pembe za ndovu tumeshuhudia wakipatiwa dhamana,ila huyu hatakiwi kupatiwa dhamana,inasikitisha sana hii nchi aisee