faithful
JF-Expert Member
- Aug 10, 2010
- 378
- 34
taarifa nilizozipata kutoka chanzo ninachokiamini ni kwamba orodha ya wakuu wa mikoa tayari imeshaandaliwa!
wale ma rc waliodondoka kwenye majimbo wote imekula kwao,
wale wote ambao ni wabunge hawatapata u r.c kwani hakuna kofia mbili.
kuna ma dc vijana ambao wamefanya vizuri katika wilaya zao watapata promosheni
kuna ma rc watakao pumzishwa kwa sababu ya umri
wale wabunge waliopoteza majimbo katika uchaguzi mkuu wote hakuna huruma ya kupozwa u r.c walie tu
hata hivyo kuna waliotajwa kupata u rc kama vile mzee tibaigana,rainfred nasako,mama jannet mbenne,aisha kigoda na erick shigongo
habari zaidi nitawaletea!
wale ma rc waliodondoka kwenye majimbo wote imekula kwao,
wale wote ambao ni wabunge hawatapata u r.c kwani hakuna kofia mbili.
kuna ma dc vijana ambao wamefanya vizuri katika wilaya zao watapata promosheni
kuna ma rc watakao pumzishwa kwa sababu ya umri
wale wabunge waliopoteza majimbo katika uchaguzi mkuu wote hakuna huruma ya kupozwa u r.c walie tu
hata hivyo kuna waliotajwa kupata u rc kama vile mzee tibaigana,rainfred nasako,mama jannet mbenne,aisha kigoda na erick shigongo
habari zaidi nitawaletea!