Naomba msaada wa kunifanyia makadirio ya nyumba ya kisasa yenye bedrooms 3 plus master room 1 ambayo itakuwa basement planned to be a kitcheni.
Tukianzia kwenye boma lake itachukua sh ngapi
Mahali ni Dar es Salaam
Badala ya kuandamana kama wakenya cha ajabu mnafanya utoto wa kufunga biashara, maana kuna wenzangu na mimi asipoingia kariakoo hamna ugali siku hiyo sijui itakuwaje. The best way ni kuandamana hayo mnayofanya ya kufunga maduka ni utoto. Tuliosoma Cuba tulimuelewa sana mkuu wa mkoa Albert...
Acha kumpotosha mwenzio vyeti og ni lazima na kitambulisho mojawapo kati ya nida,vote,au passport ya kusafiria. Usibebe copies hata kama vimekuwa certified havikubaliwi
Mwisho malekezo yote hutolewa kwenye lile tangazo la kuitwa kwenye interview lenye majina ya watu wote walioitwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.