Ajenda kubwa ya CUF ya mnyamwezi na wafadhiri wake ni kuuvuruga kwa kuvigombanisha CUF original na vyama vingine vinavounda ukawa hasa CDM! Inàhitajika busara na akili ya ziada kukivuka hiki kiunzi
Hakuna 1/3 ya 2 ila chadema wasipo peleka mwanamke hata mmoja hiyo 1/3 itatoka wapi? Maana hiyo 1/3 wanatakiwa waliochaguliwa na kupitishwa na bunge! Hata kama wanatakiwa wabunge wa 2 wanaotakiwa kupita toka chadema na kuwa wabunge wa EALA kwann wasipeleke watatu na wakike akiwemo bac, ili hao...
Cdm nao wamechemka katika hili, kwann wasipeleke mwakilishi mmoja akaungane na wanawake wenzie kama akipita ndo watengeneze hiyo 1/3!? Au walitaka hiyo 1/3 itoke ccm? Uchu wa madaraka kati ya wenje na mwenzie utawaponza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.