Recent content by Jgaja

  1. Jgaja

    Bungeni, Dodoma: Kikao cha kwanza Bunge la 13 mwaka 2018

    Hii sharia mpya ya pension inayotaka kupitishwa na bunge ikoje!?
  2. Jgaja

    Biblia na biashara ya utumwa wa mtu mweusi Marekani

    Unapotosha ukweli kwa kuuita "janja janja za zitto"
  3. Jgaja

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo musoma dc nije nzega/igunga/kahama
  4. Jgaja

    Msajili wa vyama vya siasa futa hiki chama cha CUF

    Ajenda kubwa ya CUF ya mnyamwezi na wafadhiri wake ni kuuvuruga kwa kuvigombanisha CUF original na vyama vingine vinavounda ukawa hasa CDM! Inàhitajika busara na akili ya ziada kukivuka hiki kiunzi
  5. Jgaja

    Baadhi ya wasanii wa Bongo Movie Waandamana kutoka ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dar Makonda

    Badala wapiganie kazi zao zisiibiwe wanapinga kazi za wenzao zinazofanya vizuri sokoni zisiuzwe, daah, waliko huko dunia ilishatoka zamaaaaani,
  6. Jgaja

    VIDEO: Msanii Roma na wenzake warejea rasmi uraiani. Kufunguka Jumatatu

    Na ole wake awe anatumika, ntamtoa kwenye ubongo wangu
  7. Jgaja

    Diamond kamuomba Gwajima yaishe

    Hahahaha asubiri kristapeni zake kesho
  8. Jgaja

    Katibu wa bunge la Tanzania anapatikanaje?

    Siyo kweli
  9. Jgaja

    Ubunge wa EALA: CHADEMA hatukukosea, tutaenda Mahakamani kupinga Uchaguzi

    Hakuna 1/3 ya 2 ila chadema wasipo peleka mwanamke hata mmoja hiyo 1/3 itatoka wapi? Maana hiyo 1/3 wanatakiwa waliochaguliwa na kupitishwa na bunge! Hata kama wanatakiwa wabunge wa 2 wanaotakiwa kupita toka chadema na kuwa wabunge wa EALA kwann wasipeleke watatu na wakike akiwemo bac, ili hao...
  10. Jgaja

    Ubunge wa EALA: CHADEMA hatukukosea, tutaenda Mahakamani kupinga Uchaguzi

    Cdm nao wamechemka katika hili, kwann wasipeleke mwakilishi mmoja akaungane na wanawake wenzie kama akipita ndo watengeneze hiyo 1/3!? Au walitaka hiyo 1/3 itoke ccm? Uchu wa madaraka kati ya wenje na mwenzie utawaponza
Back
Top Bottom