Recent content by JF Biggie

  1. J

    Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Salum Hapi afuta Hati ya Shamba la Waziri Mkuu Mstaafu, F. Sumaye

    Mtoa mada kisheria mkuu wa wilaya hana mamlaka ya kufuta hati kwa mujibu wa sheria ya ardhi Na.4 ya 1999....nakukumbusha tu
  2. J

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Mikocheni

    Mikochenk ndio eneo gani hilo...yaani lipo wapi?
  3. J

    Wasomi wanapoamua kuweka elimu yao mfukoni,je tutafika?

    Inatia shaka na uwezo wa wasomi wetu,ukiangalia mambo yanavyofanyika unabaki unashangaa!
  4. J

    Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

    Dr Slaa
  5. J

    Joram Kihango vs Willy Gamba

    Ni wapi naweza kununua vitabu hv njama,kikosi cha kisasi na kufa na kupona vyote vimeandikwa na Elvis Musiba!
  6. J

    Wema Sepetu: Umbo Lake Limerudi Kama Zamani!!!

    Duh namkumbusha tu kuwa pamoja na maangaiko yake yote 'akumbuke tu kuwa umri uwa haurudi nyuma' na kila chenye mwanzo..............!
  7. J

    Mwigulu: Ukichukua Vijana watano "Wachumi" wa rika langu lazima niwepo!

    Kwa aina ya waandishi tulinao,lazima ataonekana bora sana
  8. J

    Tunahitaji chama kipya?

    MM,vyama vipya kwa watu wapi?,kama vyama vipya kwa watu wapya tena wazalendo inawezekana,lakini kama vyama vipya kwa watu hao hao haiwezekani ni sawa na kulia na kucheka,zote ni kelele tu!
  9. J

    Rostam Aziz, ndiye tajiri namba moja Tanzania kwa sasa!!!

    Pamoja na taarifa zao kuonyesha Mabilionea tulionao,bado utajiri wao ni wa mashaka zaidi!!!!!!!!!!
  10. J

    Nimeamini sasa, dada Saro kapigwa risasi, mama mkubwa kauwawa!

    Poleni sana wafiwa.....................
  11. J

    Wizara ya Ardhi imebinafsisha upimaji wa Viwanja?

    Watz tusiwe watu wa kulaumu tu tena kutokana na maneno ya kuambiwa mtaani na bila kupata maelezo kutoka kwa wataalamu.Nitaeleza kidogo hapo kitaalamu,kwa mradi mkubwa wa upimaji wa viwanja vingi na ili kiwanja kiweze kuzalishwa lazima hatua zifuatazo zizingatiwe:- Taratibu za utwaaji wa eneo...
  12. J

    Lukuvi: Maendeleo ya kesi ya 'Masogange' huko Afrika Kusini na hii ndiyo ripoti yenyewe...

    Nchi hii story/siasa ni nyingi kuliko utendaji,hakuna sehemu ambayo tunasema tumeshinda zaidi ya kurushiana mpira,kitu kipo wazi lakini mzunguko wake utachoka kabisa,waliowatuma wapo na wanajulikana lakini ngojera zake ndio usisikie,kwa mtindo huo hatuwezi kufanikiwa hata kidogo na tutaendelea...
  13. J

    Kwanini si muumini wa Serikali Tatu...

    MM Hii haingii akilini hata kidogo,pamoja na maneno na hotuba nzuri za Mwl Nyerere bado suala la kuwepo kwa Serikali ya Tanganyika ndani ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano hauwezi kuliepusha hata kidogo.Vp inawezekanaje nchi yenye Idadi ya wananchi wasiozidi milioni 2 kuwa na Serikali yao na...
  14. J

    Dawa ya kuondoa msongamano Dar...

    Pia huduma nyingi za kijamii zianzishwe pembezoni mwa hzi manispaa mbili ili kupunguza idadi ya watu kuja katikati ya mji bila sababu za msingi
Back
Top Bottom