MM,vyama vipya kwa watu wapi?,kama vyama vipya kwa watu wapya tena wazalendo inawezekana,lakini kama vyama vipya kwa watu hao hao haiwezekani ni sawa na kulia na kucheka,zote ni kelele tu!
Watz tusiwe watu wa kulaumu tu tena kutokana na maneno ya kuambiwa mtaani na bila kupata maelezo kutoka kwa wataalamu.Nitaeleza kidogo hapo kitaalamu,kwa mradi mkubwa wa upimaji wa viwanja vingi na ili kiwanja kiweze kuzalishwa lazima hatua zifuatazo zizingatiwe:-
Taratibu za utwaaji wa eneo...
Nchi hii story/siasa ni nyingi kuliko utendaji,hakuna sehemu ambayo tunasema tumeshinda zaidi ya kurushiana mpira,kitu kipo wazi lakini mzunguko wake utachoka kabisa,waliowatuma wapo na wanajulikana lakini ngojera zake ndio usisikie,kwa mtindo huo hatuwezi kufanikiwa hata kidogo na tutaendelea...
MM
Hii haingii akilini hata kidogo,pamoja na maneno na hotuba nzuri za Mwl Nyerere bado suala la kuwepo kwa Serikali ya Tanganyika ndani ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano hauwezi kuliepusha hata kidogo.Vp inawezekanaje nchi yenye Idadi ya wananchi wasiozidi milioni 2 kuwa na Serikali yao na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.