Recent content by Jewel

  1. Jewel

    TTCL Internet Router

    MBEZI MWISHO LINI?
  2. Jewel

    KERO Responded Stendi ya Mbezi Magufuli hakuna maji siku ya pili leo

    Team Shabani bado ipo kazini kwakweli maji tabu mpaka Mpigi Magoe hata sijui kama wanamtafutia Waziri kiki
  3. Jewel

    Tamthilia ya huba mmepoteza mwelekeo na mvuto

    BORA YA RIYA IPO VIZURI
  4. Jewel

    Msaada: Inamaanisha nini kuona muda na dakika zinazofanana kila mara?

    DUU NAMI WEEKI HII NZIMA NIMEKUWA NAKUTANA NAMBA ZENYE MAGARI MFANI ALHIMISI ANTOKA TU HOME 666 KATKAKATI YA SAFARI 333 NAFIKA JOB 222 DUU NIKASHANGAA NARUDI HOME 222 KISHA 777.LEO SASA NIMEKUTANA NA 777 NA 333 HII IMEKAAJE ?
  5. Jewel

    Umeshakutana na shida gani kwenye gari lako upewe suluhisho?

    Toyota Ist inapoendeshwa ikiwa kwenye foleni mwendo mdogo sana inazima redio kisha inawaka dashboard inawakataa zote gari inazima na kisha ukiwasha gari inawaka na kwenye mwendo usio wa foleni haiizimi nini tatizo?
  6. Jewel

    Shida ya maji mbezi high school mpaka mpigi magoe

    Mbezi high mpaka Mpigi Magoe kuna tank maeneo hayo kuna mradi wa maji uliokamilika lakini haujazinduliwa rasmi ni.. hivi karibun tumekua tukipata maji vizuri lakin kuanzia wiki iliyo pita hatuna maji, hakuna ufafanuzi wa kina unaotolewa zaid ya kua tu kuna changamoto ila hakuna dalili yoyote ya...
  7. Jewel

    Shirika halijajibu Hoja za Mkaguzi ya kuwa linajiendesha kwa Hasara, limeona liandae futari kwenye hoteli ya kifahari

    HATA NDUGAI ALISEMA NCHI ITAUZWA LAKINI MPAKA LEO HATUJAUZWA ACHA KUCHAFUA KULICHAFUA SHIRIKA
  8. Jewel

    Sumu ya kuua kunguru ni ipi?

    TAFUTA CHUMVI YA MAWE WAPIGE NAYO WATAKIMBIA UTAKUJA KUNISHUKURU
  9. Jewel

    Wizara ya Maji na DAWASA wanampotosha Rais

    HAFAI MTINI WALA SHIMONI YAANI KATIKA MAWAZIRI WAONGO HUYO JUMA NAMBA MOJA SIJUI ANALOGEA WAPI
  10. Jewel

    MREJESHO: Simuelewi mume wangu

    Dada yangu Mwili Wako Sio Maonyesho Kila Mwanaume Auone,Mwili Wako sio Mdoli Kila Mwanaume Auchezee,Mwili Wako sio Dampo Upokee Kila Uchafu wa Mwanaume,Mwili wako sio Mali ya Umma kila Mwanaume Akutumie,Mwili wako sio Kiburudisho kila Mwanaume Ajiridhishe,Mwili wako sio Pazia la Sebuleni kila...
  11. Jewel

    MREJESHO: Simuelewi mume wangu

    WEE LALA UCHI WA MNYAMA
  12. Jewel

    Siasa zimezidi The Law School of Tanzania. Hiki chuo kimulikwe!

    HATA MATOKEO YAO HAYA YALIYOTOKA JUMATANO YANA WALAKINI INABIDI WARUDIE KUYASAHIHISHA MAANA KUNA WATU WAMEFELISHWA MAKUSUDI
Back
Top Bottom