Jewel
Senior Member
- May 1, 2008
- 176
- 62
Mbezi high mpaka Mpigi Magoe kuna tank maeneo hayo kuna mradi wa maji uliokamilika lakini haujazinduliwa rasmi ni.. hivi karibun tumekua tukipata maji vizuri lakin kuanzia wiki iliyo pita hatuna maji, hakuna ufafanuzi wa kina unaotolewa zaid ya kua tu kuna changamoto ila hakuna dalili yoyote ya mafundi kuona kuwa wana shughulikia tatizo hilo, tunapata tabu sana, tuna omba tatizo hili lishighulikiwe mara moja.Ajabu magari ya maji yameanza kutembea kwa kasi na kuuza maji mitaani .Tunakuomba Mheshimiwa Rais uliangalie hili kwa jicho la karibu .