Mkuu mbuna juice za Azam zipo vizuri tu. Au wakati wa kumimina ulitaka itokeje kwenye box kwa mfano. Nilitegemea useme labda baada ya kunywa uliharisha au kuna mtu mwingine kalalamika kwa kumsababishia side effect. Vinginevyo tuendelee kuthamini bidhaa za Kitanzania.
Kweli hawa ndio modern great thinkers wetu. Kwa hiyo kukosekana kwa vazi la taifa ndio unataka kutuambia umeshawahi kupita mbele ya mama yako mzazi ukiwa umevaa 'boxer'? Pamoja na kukosekana kwa vazi hilo basi katika mavazi tuongozwe na mila na desturi zetu za kitanzania kama siyo kiafrika.
Ukiwa unachomwa sindano mdogo wangu inabidi utulie dawa iingie vizuri, usimporomoshee matusi, maana anaweza kuamua kugandamiza sindano hadi kwenye mfupa ukawa kilema bure. tafadhali tuli.
Well said Andersy. Kuna watu wanatoa povu humu utafikiri tayari kura zimeshapigwa na matokeo kutangazwa. Wamesahau kuwa huo ni utafiti tu ambao ukifanywa mwezi ujao matokeo yanaweza kuwa tofauti
Kibo10
''Mlianza na Mungu, mpo na Mungu na mtamaliza na Mungu''.............sasa hapo sijui povu la nini, au Clouds ni kubwa kuliko Mungu na ndio maana unalalamika/
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.