Kwanini ITV wanaegemea sana CHADEMA?

Kwanini ITV wanaegemea sana CHADEMA?

Hapa ni Azamu TV tu ndiyo tunaitegemea zilizo paki zote ni ukabila'ukanda'na itikadi sielewi wanapataje Kuwa Superb land ??
 
Mmmiliki anatokea uko wanakotangaza kuwa wameshinda.
Mwamba ngoma huvutia kwake mwaya iyo ndo super brand
 
sijaona kwenye taarifa ya saa mbili wakitoa taarifa za ccm majimbo waliyoshinda ila ni chadema tu?
Kwanini TBC na Star Tv wanaripoti ccm tu? Ukishajibu hilo nutakuja kukujibu swali lako la kichama..
 
sijaona kwenye taarifa ya saa mbili wakitoa taarifa za ccm majimbo waliyoshinda ila ni chadema tu?

Swali Lako Ni Sawa Na Kuuliza Hivi Ni Kwanini Mbwa Yoyote Akiingia Tu Ktk Himaya Ya CHATU Hujipeleka Mwenyewe KUMEZWA?
 
chaggaz!!!? kweli hizo sperm zilizokuzaa bora mzee angepiga puli zikaenda na maji. nkt!!!:angry::angry::angry::angry:
 
Mengi ni Mchaga kama Mbowe na Mtei.
MENGI ni Mmachame, kama Mbowe na Ndesamburo.
Mengi ni MLutheri kama Lowassa.
MENGI NI MKASKAZINI kama hicho chama.
MENGI ni tapeli, kama Mbowe, Lema, Lissu.
Mengi ni mlalamishi mwongo, kama Ukawa
 
Back
Top Bottom