kiwa k khalidi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 300
- 67
Wewe subili tinga tinga lingie ikulu wote wanao sapot hilo fisadi lowassa na lowasa segerea inawahusu
W **** nn mbona usemi Chanel 10, star TV na TBC au unawashwa, wa2 tushavulugwa saiz na ayo matokeo yenu ya kisenge
We mpuuzi kabisa nilitegemea uhoji TBC au Star TV ambao hata uwe mbumbumbu wa kiwango cha juu utagundua kuwa wanaipendelea CCM wao ni sawa tu kwa maoni yako. Ukapimwe akili.sijaona kwenye taarifa ya saa mbili wakitoa taarifa za ccm majimbo waliyoshinda ila ni chadema tu?
WaTz si wapuuzi kuwapa wachagga nchi
Huu ujinga wenu ndio maana Wachaga wamewafundisha adabu kwa vitendo mmekosa hata mbunge mmoja kwao na ni vyema mkazifunga ofisi za ccm kule na hawa kina Davis Mosha muwafukuze ccm maana ni mamluki tu wa Chadema.
Ukiwa unachomwa sindano mdogo wangu inabidi utulie dawa iingie vizuri, usimporomoshee matusi, maana anaweza kuamua kugandamiza sindano hadi kwenye mfupa ukawa kilema bure. tafadhali tuli.
Me, napita tu. Kwani kuna nini jamani? Mbona fujo
sijaona kwenye taarifa ya saa mbili wakitoa taarifa za ccm majimbo waliyoshinda ila ni chadema tu?
Watu kama nyie ndo mnafanya tz isiendelee...ujinga bado hupo sana tz tena mbaya watu wazima na shule wameenda, hadi kwenye kura uonaonekana
Hayaaaa sasa hivi ndo nimestukia,,,gademaMmiliki wa ITV anatoka wapi na watangazaji wengi ni kutoka wapi na wagombea wa ukawa wanatoka wapi ukifahamu hayo ndo urajua sababu zake
Kwa umasikini wetu utatolewa na wachaga?