Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Kufuatia kuegemea kwenye chama kimoja kati ya vyama 23 vya siasa vyombo hivyo ambavyo vinaendeshwa kwa kutumia kodi za watanzania woote bila kujali itikadi ya chama vimeonyesha upendeleo mkubwa sana. Hivyo ni vizuri na haki wakishitakiwa kwa kuhujumu kodi za watanzania