Nawasalimu wadau
Bila kupoteza muda, miaka ya hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa sana la wamiliki wa magari kutembeza magari yao wakiwa wametoa plate number ya mbele na kuziweka ndani, hii hali nimeiona zaidi nikiwa mkoa wa dodoma.
Sasa sijui ndo mageuzi au basi tu ni kupungua kwa...
Salaam wakuu
Nimejaribu kutafakari Wimbi la watanzania kuingia kwenye michezo mbali mbali ya upatu pamoja na tahadhari nyingi kutolewa na hata kusikia kilio cha wengi baada ya Deci na wengine wanaofanana na hao. Jana kuna mdau kaja akijinasibu kuingia kwenye Berry.
Compounding huku akinisihi...
Nawasalimu nyote pamoja na kuwa bize kwa habari za soka la watani wa jadi nisiwachoshe sana.
Jana nikiwa mkoa wa Moro nikipata chakula cha mchana bar moja maarufu karibu na stendi ili niweze kuendelea na safari alikuja mama mmoja mtu mzima akanisalimia kwa bashasha na kueleza kuwa yeye ni...
Omba huruma ya Mungu hapo kuna mambo mawili kushuka ngazi inaonesha utashuka kiuchumi au cheo au hata kuporomoka kibiasha tena kwa aibu ndo maana upo uchi au pia ni ishara siri zako kuwa hadharani hivi karibuni
mimi wanangu nilipoona ratiba ya school bus ndo kama hiyo nikasitisha mara moja maana mtoto anaamka usiku na anarudi jioni kachoka hata kula hawezi ni kulala tu ikabidi nifute hayo mambo ya school bus anaondoka asubuhi saa moja namshusha shule ndo naenda job walau imesaidia naona hata darasani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.