Recent content by jerrto

  1. jerrto

    Hivi Prof. Jay kwanini tu asiache muziki?

    Atakuwa ameanza kufatilia mziki siku za karibuni tulioanza zamani Tunaelewa moto wa huyu HW MC.
  2. jerrto

    Tuwasindikize wanaoenda kuripoti Polisi kwa Video mpya ya Simba

    Utachelewa sana kumuelewa huyo bwana mdogo...utaona tu matunda ya hiyo unayoita video mbaya yebye budget kubwa...huyo ndio Almasi Domo bhana usimu under estimate
  3. jerrto

    Huyu kaka hataki tuachane, nifanyaje?

    Ukisikia upele huwa unamtokea asiye na kucha ndio hii.Ngoja akue kidogo mkuu itakuja thread hapa heading yake utasikia "nimezalishwa na boyfriend wangu wa utototoni afu hanitaki tena" tumpe ushauri
  4. jerrto

    Huyu kaka hataki tuachane, nifanyaje?

    Aiseeh nimecheka kwa sauti,ndio zao hawa watu.
  5. jerrto

    Mume wa mke niliyempa ujauzito ananitafuta anipongeze

    ha ha!Hii inaitwa ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga:cool:
  6. jerrto

    Ushauri wa bure: Ally Kiba nenda ukasainishwe WCB ili mziki wako upae

    Wenyewe wanasema "If U cant beat them,join them" Kibakuli bhana
  7. jerrto

    Njia rahisi ya Kupata Driving License au Passport

    Aiseeh na mie nahitaji leseni,tafadhari anayejua jinsi ya kupatikana fasta anijuze
  8. jerrto

    Mdogo mdogo, Diamond atabwia unga

    Kiukweli hata mimi hii kasi yake inanitisha, hatumpangii cha kufanya lakini haya mabadiliko yataisha na mwisho wa siku atafanya vitu vya aibu zaidi.
  9. jerrto

    Tetesi: Joh Makini kuingia WCB

    Itakuwa inaitwa "YO Records" na ina msanii mmoja nguli anaitwa ABDU kiba:):)
  10. jerrto

    Meno ya Diamond Platnums ni shs milioni 11

    Kwa 50 Cent hata mim nimeshtuka,lakini kila la kheri kwake maana kichwa chake na meno yake yatakuwa dili mtaani,mateja watamuachaje sasa.
  11. jerrto

    Chuo cha Nursing cha Tosamaganga Iringa

    thanks ndugu am still waiting for hizo contacts...ntashukuru sana.
  12. jerrto

    Chuo cha Nursing cha Tosamaganga Iringa

    Habari za majukumu ndugu zangu,sorry sana kwa usumbufu,but nilikuwa najaribu kutafuta mawasiliano ya chuo cha nursing tosamaganga iringa,kama namba za simu kwa ajili ya kutaka kujua ada zao,qualifications na utaratibu kwa ujumla kwa ajili ya mdogo wangu,unfortunately simfahamu hata mtu mmoja...
  13. jerrto

    Natafuta kazi ya barber shop

    Hiyo number lazima kuna watu watamiss-use,ngoja waje watakusaidia lakini.
Back
Top Bottom