Haina haja hiyo biashara inafanywa kwa miaka mingi wanamwaga baharini na Kuna visima vya serikalin unlipiaukimwaga u hafu kma unataka kata leseni nunua tu mgari ya kunyonya uchfu seh za kumwaga zipo
Nunua hydrogen peroxide au nenda duka la dawa waambie unataka dawa kwa ajili ya mtu anayenuka mdomo inauzwa 1500 mpe mwambie sukutua na hii Karla hunapiga mswaki mdomo una harufu mbaya me mke want Kuna kipindi ilitokea hivyo nkamnunulia dawa na nikamchana alifurahi hakumind
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.