Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Nenda kawape hio penalty SasaVijana wa simeone wameonewa nikiangalia kulikuwa na penalty lakini wapi duh!




Nenda kawape hio penalty SasaVijana wa simeone wameonewa nikiangalia kulikuwa na penalty lakini wapi duh!




Timu yako ipo wapi ,kazi kuchekelea wanaume tunatinga semi final ...!Man city wanapigwa hamsha hamsha balaa, mkishinda ni bahati
Kwani Liverpool huijui wewe?Timu yako ipo wapi ,kazi kuchekelea wanaume tunatinga semi final ...!


Hivi nyie ile ni CL au Europa .....unacheza na kina benafica unasema ni uefaKwani Liverpool huijui wewe?




Vijana wa simeone wameonewa nikiangalia kulikuwa na penalty lakini wapi duh!





kawape wee hiyo penalty. Tushazama semi finalFelipe alitaka kumuua mtu, alitaka mchezeshea kichapo Phil foden![]()
Atletico wanacheza mpira wa kupanic ,nguvu nyingi kuliko akili ndio maana wanakulaga red card SanaHao mbona kawaida yao tulivyocheza nao mechi zote mbili walikula red.
Walishindwa kucheza mpira wakaanza kucheza ngumu atletico....foden ni bonge la player Felipe kaonekana kilaza tu ,that is football lakin majitu makubwa ni kucheza rafuu tupuFelipe alitaka kumuua mtu, alitaka mchezeshea kichapo Phil foden![]()



Walishindwa kucheza mpira wakaanza kucheza ngumu atletico....foden ni bonge la player Felipe kaonekana kilaza tu ,that is football lakin majitu makubwa ni kucheza rafuu tupu![]()


dah! Felipe kamfata Foden amburuze kama alivyo buluzwa gadafi 



