Joasi
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 768
- 667
Ndugu habarini,
Hapa ni nyumbani naomba tupeane uzoefu.
Binafsi nipo na ofisi ya Uwakala wa mitandao ya simu na Banks kama wakala wao.
Tatizo nalokutana nalo ni chuma ulete au sijui ni kiini macho.
Tarehe 23.3.2022 alikuja mteja kwa bashasha sana na aliweka 50,000 asubuhi kama saa 2 hivi.
Saa 8 mchana akarudi na sh 20,000 nimwekee Aitel na nikaandika kwa usahihi kabisa.
Cha kushangaza baada ya dk45 nahisi tu kama yule mteja nimemzidishia kiwango.
Kucheck nakuta nimetuma 200,000.
Aisee siku ilikuwa ngumu sana kwangu ngumu mno mno.
Na niliwahi poteza 1,900,000 kwa namna nisiyoijua kabisa.
Na nikaiweka ni chuma ulete.
Kuhusu kufunga hesabu aisee sijawahi Acha kufunga hesabu kwa kweli.
Baada ya hapo ilinibidi nihame na kutokana na uchache wa wateja.
Huku nilipoami nimerekebisha vizuri ofisi sasa HOFU yangu ni Chuma ulete naona inaweza kuniletea shida tena sijiamini kabisa
Naomba wajuvi wa kuzuia hili jini yaani mnisaidie kutatua .
Mawakala wa kutoa huduma za kifedha naomba mine experience yenu also wajuvi wa namna ya kutatua hii hali .
Nitakuja na mrejesho wa kufanikiwa kuizuia kama nitapata suluu hapa jamvini.
Hapa ni nyumbani naomba tupeane uzoefu.
Binafsi nipo na ofisi ya Uwakala wa mitandao ya simu na Banks kama wakala wao.
Tatizo nalokutana nalo ni chuma ulete au sijui ni kiini macho.
Tarehe 23.3.2022 alikuja mteja kwa bashasha sana na aliweka 50,000 asubuhi kama saa 2 hivi.
Saa 8 mchana akarudi na sh 20,000 nimwekee Aitel na nikaandika kwa usahihi kabisa.
Cha kushangaza baada ya dk45 nahisi tu kama yule mteja nimemzidishia kiwango.
Kucheck nakuta nimetuma 200,000.
Aisee siku ilikuwa ngumu sana kwangu ngumu mno mno.
Na niliwahi poteza 1,900,000 kwa namna nisiyoijua kabisa.
Na nikaiweka ni chuma ulete.
Kuhusu kufunga hesabu aisee sijawahi Acha kufunga hesabu kwa kweli.
Baada ya hapo ilinibidi nihame na kutokana na uchache wa wateja.
Huku nilipoami nimerekebisha vizuri ofisi sasa HOFU yangu ni Chuma ulete naona inaweza kuniletea shida tena sijiamini kabisa
Naomba wajuvi wa kuzuia hili jini yaani mnisaidie kutatua .
Mawakala wa kutoa huduma za kifedha naomba mine experience yenu also wajuvi wa namna ya kutatua hii hali .
Nitakuja na mrejesho wa kufanikiwa kuizuia kama nitapata suluu hapa jamvini.