Oilcom zote ni wezi. Ukipaki gari kuweka mafuta wanakuvamia wafanyakazi kama wawili watatu hivi. Wakati huyu anakuongelesha mwingine anaweka mafuta pungufu ya hela uliyomtajia. Kuwa makini nao. Nimetest sheli zao kama nane hapa dar. Wote wanafanya hivyo. Chukua au acha huo ndo ukweli.
"wassira apigilia msumari". this is a very poor terminology. hivi wassira ni nani? wassira ni mdogo kwa pinda hivyo hawezi kupigilia msumari. kufanya hivyo ni insubordination. ingeeleweka kama ungesema kikwete apigilia msumari. hata hivyo sishangai wassira kusema hivyo maana ni mtaalamu wa...
Watanzania walio wengi wanaendekeza mapenzi badala ya kazi. Nijuavyo mimi kama ishue ya wabunge wawiliwawili kwa kila jimbo itapitishwa i.e. male and female litakuwa bunge la mke na mume. Yale yale ya ngoswe!!
Mwigulu ebu kaa chini na usome historia ya watu kama Gadaffi, Osama, Jonas Savimbi and more of the like pengine unaweza ukajifunza kitu. Kikubwa zaidi jua kwamba Mungu yupo na anafanya kazi na wala hasikwong'opee mtu MALIPO NI HAPA HAPA DUNIANI. CCM umeikuta na bado
ipo lakini kuendelea kuwepo...
Labda sijakuelewa. Kuichukua nchi ndo kufanyaje? na wataichukua nchi gani? kutoka wapi kwenda wapi? Umenifanya nikumbuke maneno ya masaburi dhidi ya wabunge wa ccm wa dar alipowambia wanafikiri kwa kutumia makario.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.