Mzee kama Mtei HAFAI kuwa mentor wa mwanasiasa progressive.
..OK, lakini wazee wengine wapo huko CDM na hatujamsikia Zitto akisema yuko karibu na wazee hao.
..hivi akitokea mwana CCM akatamka kwamba Mzee Mtei ndiyo political mentor wake, na Dr.Slaa ni "baba yake" au "mzee wake" kweli ktk siasa za kileo mtamwamini mwanachama huyo ktk nafasi nyeti za uongozi?