Nadhani kuna haja ya kumuelewa mtoa Uzi, sidhani kama anapingana na ziara anazofanya Rais bali anachagiza kwamba asitembelee tu Afrika,aangalie na upande mwingine wa Dunia amabako yamkini kama ni kwa lengo la kupata wawekezaji basi huko watapatikana tena nakunywa zaidi, Hata hvyo niseme kwamba...
Apokelewe kwa mawazo yake Chanya, amejitambua kwamba alikuwa nje ya mstari na anajutia kauli zake, kwakuwa amerudi akaribishwe kila binadamu hujikwaa na kujirudi
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana uko sahihi Ila usiangalie tu Lisu,je wajua speaker Ndungai iligharimu kaisi gani akiwa India? He wajua viongozi wengine kuanzia Rais, PM na wengine wa ngazi za juu wanagharamiwa kaisi gani?
Nashauri hoja iwe inakuja kwa mapana yake badala ya kumzungumzia mtu mmoja. Kama tunaishauri...
Busara na hekima ni kitu cha kipekee sana, katika unadishi wako ulikuwa na uwezo wa kutamka vinginevyo juu ya uzi wa huyo ndugu ..lakini hakika nimependa busara yako na hekina katika aya tatu za mwisho kwenye maoni yako,umenena vema sana..Subira yavuta heri na kila jambo lina mwisho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.