Recent content by Jemedal_bin_chichi

  1. Jemedal_bin_chichi

    Edwin Odemba kilichomliza ni nini sasa kama sio ujinga na utoto? Mwanaume gani unalia hadharani?

    Kipindi wazee wengine waliuza Ng'ombe ili kuwapeleka watoto zao shule, Wazee wako wao wakafanya kinyume, Wao waliuza Ng'ombe ili kuipeleka shule Ng'ombe nyingine.
  2. Jemedal_bin_chichi

    Namna gani smart naweza kudate na mke wa mtu na mumewe asishtukie?

    Namna-Smart ni kumla tu huyo mke wa mtu na baada ya hapo, muda wowote, muda wote nyakati yeyote na mahala popote undapo hakikisha unatembea na kikopo cha mafuta chenye mafuta, Kwasababu wewe hauna Natural lubricant, hivyo utaipunguzia maumivu sehemu yako ya haja kubwa kwa kumpa kikopo hicho...
  3. Jemedal_bin_chichi

    Dunia tayari imeshapangwa hivyo. Hata Mungu anajua hivyo. Ukijaribu kubadili, unabadilishwa wewe

    Moja ya hojaji hafifu na ya kupuuzwa kabisa, Elewa siasa ni kazi, Siasa ni biashara Ukiona ni msimu wa mvua umewadia zungusha miavuli na makoti, Msubiri Sister aje beach ndipo umuuzie bikini kumfuata parokiani utaonekana chizi MUHIMU; move on tu, hawaaja leo wanasiasa kuama vyama, hata huyo...
  4. Jemedal_bin_chichi

    Kila nikiliangalia bwawa la Mwl. Nyerere natamani kuwachapa makofi wafuatao

    Kama wapo waliopinga ujenzi wa mwendo kasi, kipi kipya?
  5. Jemedal_bin_chichi

    Mjadala: Ni jambo gani kwenye Maisha yako lilichelewa sana? Ila sasa unaona kawaida sana

    Nilitamani sana kusafiri nje ya mkoa niliokulia, Ipo siku nilimwambia B mkubwa kuwa natamani kusafiri nje ya mkoa huo, akaniambia "mwanangu ukiwa mkubwa na hela zako, usafiri popote utakapo, subiri uwe mkubwa Mungu akusaidie upate hela" kauli hii ilinipa hali na matumain makubwa mno, anyway...
  6. Jemedal_bin_chichi

    Leo wakati nipo usingizini nimeota namuulizia Saed Kubenea

    Tangu jaribio lake la kutaka kumshitaki Makonda lishindwe kufanikiwa, amejua spotlights sio ishu
  7. Jemedal_bin_chichi

    Ushauri kwa ACT Wazalendo

    Unatoa ushauri kwenye jambo ambalo ulijui hata kidogo, ulijui kabisa, kabla ya kutoa ushauri ni lazima ulijua jambo unalolitolea ushauri, 1.Ni uchale tu kudhani wewe unaijua ACT inanguvu kuliko wao wanavyo jijua, yaan wewe ambaye uiona ACT kwa kuiangalia tu rangi na majina ya baadhi ya viongozi...
  8. Jemedal_bin_chichi

    Nimebaini mke wangu ana laini mpya

    Bila shaka wewe sio Muislamu, Hii inatokana na maelezo yako ya kuona jina la kiislamu. Sasa ni hivi, rejea kwenye malengo yako ya awal ya kuingia kwenye ndoa yako. Kwenye hili mwanamke kakuzidi maarifa ndio sababu bado hujaujua ukweli wa nn hasa kipo japo ushahidi wa kilichopo unao lkn hujui...
  9. Jemedal_bin_chichi

    Bila kujali kelele na yaliyosemwa juu ya Hayati Magufuli, kuna ulazima wa haraka sana kumpata mwingine wa aina yake

    JPM alipaswa awe kiongozi wa juu wa nchi amabazo azina mfumo wa kidemokrasia, hakika angeweza kuijenga hiyo nchi. Huku kwenye demokrasia, angeishia kama alivyo ishia, kuua, kuumiza, kunyang'anya na kupora, Aliipenda nchi hii na kuwapenda wanao msikiliza na kumtii, Aliwachukia wote wenye...
  10. Jemedal_bin_chichi

    Top ten Bongo male celebrities (wasanii)

    list hii Bila, Darassa ni utumbo tu
  11. Jemedal_bin_chichi

    Utaratibu wa kufuatilia na kupata passport ni upi?

    well Kwanza kabisa kabla ya yote lazima uwe na vitu vifuatavyo 1.Namba ya Nida 2.Cheti cha kuzaliwa 3.Cheti cha kuzaliwa cha moja ya mzazi wako / Au hati ya kiapo yake/ au hati kiapo ya kaka au dada wa moja ya mzazi wako kuthibitisha uhalali wa wazazi wako. 4.Barua ya mwenyekiti wako wa mtaa...
  12. Jemedal_bin_chichi

    Utaratibu wa kufuatilia na kupata passport ni upi?

    Sheria haimpi haki hiyo, utoaji wa hati ya kusafiria umbeambatanishwa na safari ya muombaji kwa mujibu wa sheria, Hivyo baadhi ya viambatanisho hutofautia kulingana na aina ya safar ya muombaji. 1.safar ya masomo 2.Safar kwaajiri ya matembezi N.k
  13. Jemedal_bin_chichi

    Utabiri wangu: Yanga watashinda kwa mgoli 2 dhidi ya CR Belouizdad na yote yatafungwa na Mzize

    Mzize ni mchezaji mzuri lkn akitokea Sub, Gamond analijua hilo, Refer ile mechi ya Rwanda. tunakuhifadhia risiti hii
  14. Jemedal_bin_chichi

    Wakili Mwabukusi: Wapinzani hawana afadhali yoyote na CCM, ni wabaya kuliko hata CCM

    lilikuwa ni suala la muda tu, huwezi kuungana na wanasiasa kupigania haki za raia.
  15. Jemedal_bin_chichi

    Huu ndio ubora wa Mbrazili dhidi ya Mgunda

    Akianza msimu ujao na simba, utanistua
Back
Top Bottom