"Swala la uhandishi ni watu wachache wanariweza, nakiri mimi ni mmoja wapo uhandishi unanitesa"
Ungeandika hivi bila shaka ningekubaliana na wewe, Suala lipo wazi kabisa, kwa mazingira ya Dunia yetu hii ya Kitanzania, kwa muandiko ule wa mzee wa ULISI, jamaa ni empty headed, kuna mawili posible...