Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 5,885
- 13,263
Ukiangalia jezi za Yanga ipo ki-professional na simple lakini Sisi Simba matangazo yapo mengi hadi mgongoni kwa chini.
Hivi unavaaje jezi kama hii kweli,basi maandishi yangekuwa madogo yaani ni bango tosha, huyu Mo analipa kiasi gani kwa haya matangazo ambayo ni makubwa hadi mgongoni?
Hapa ndo Magungu anapofeli wataruhusuje mabango kwenye jezi kiàsi hicho? Kwa Azam ni sawa kwasababu ni timu ya mtu , je kwa Simba? Ina maana hamna makubaliano kiasi kwamba Mo hadi kwenye jezi anachora kote? Haya matangazo analipa kiasi gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unavaaje jezi kama hii kweli,basi maandishi yangekuwa madogo yaani ni bango tosha, huyu Mo analipa kiasi gani kwa haya matangazo ambayo ni makubwa hadi mgongoni?
Hapa ndo Magungu anapofeli wataruhusuje mabango kwenye jezi kiàsi hicho? Kwa Azam ni sawa kwasababu ni timu ya mtu , je kwa Simba? Ina maana hamna makubaliano kiasi kwamba Mo hadi kwenye jezi anachora kote? Haya matangazo analipa kiasi gani?
Sent using Jamii Forums mobile app