Tido Muhando alianzisha Shirika Hili kwa Moyo wake wote,na Mwelekeo Ulikuwa unaoneka,alifanya Kionekane Chombo cha Walipa Kodi,lakini hivi sasa amewekwa **** mmoja pale kwakutetea maslai ya serikali tuuuu!!Ila Ukombozi waja Tumeichoka TBC kwangu ni Marufuku kuangalia Station Hii!!
Taarifa...