Recent content by jeipm

  1. jeipm

    Kujifungua kwa upasuaji linaenda kuwa janga la Taifa

    Nitiririke moja kwa moja kwenye hoja tajwa hapo juu. Nahisi Kuna mpango nyuma ya pazia kwa hii idadi ya wanawake inayoongezeka kwa wajawazito kupangiwa au kujikuta wanalazimika kujifungua kwa njia ya upasuaji. Ndani ya familia yangu na ndugu wa karibu kati ya wanawake 4 wachanga wanajifungua...
  2. jeipm

    Tanzania haina Mapato ya kubeba ongezeko la Mishahara yote kwa asilimia 23.3%

    Fomula ya kukokotoa asilimia 23 ya kima Cha mshahara ipo Hivi Kima Cha chini Cha mshahara ni 300000. 23/100x300000=69,000/= Hivyo 69000-18% ya makato yote utaona umeongezewa sh.ngapi? 18/100x69000=12420 Sasa 69000-12420=56580. Hivyo Basi nyongeza ya mashahara ni 56580 kwa kila mtumishi. Hivyo...
  3. jeipm

    Kenya yaupiga mwingi,tuige mfano huu wa kenya tusonge mbele zaidi.

    Ongezeko la milioni 9 kwa mwezi si ni sawa tu na posho Wanatuchezea changa la macho
  4. jeipm

    Mwanangu wa miezi 2 kakataliwa kupewa chanzo hadi mama yake akubali kupokea chanjo ya Covid-19

    Hili limetokea Jana baada ya mama watoto kutoka kliniki. Nimeshangaa sana hili Jambo tena kwenye hii zahanati yetu ambayo tumeijenga kwa nguvu zetu wenyewe Kwanini wanahukumu mtoto kwa sababu ya mama kutopewa chanjo ya korona kisha tu msimano wake juu ya chanjo hiyo Kwa kweli nimesikitika...
  5. jeipm

    Idadi ya wanaume inazidi kupungua kwa kasi sana

    Leta kifungu hapa Cha biblia ambacho kinakataza kuoa wake wengi
  6. jeipm

    ROYAL TOUR: Fedha tuliyonayo tunakwenda ku-develop Phase 2 ya Royal Tour na Phase 3

    Walaah!! Mama anaupiga mwingi kumbe bado kuna episode zinaendelea
  7. jeipm

    Mei Mosi na Mfumuko wa Bei; ningepunguza PAYE kama Hayati Dkt. Magufuli

    Huyu anawivu na ndugu zake ambao ni wafanyakazi anaona wakipandishiwa mishahara watanunua magari na viwanja. Badala ya kuombea wafanyakazi waongezewe mishahara ili mzunguko wa pesa uimarike mtaaani badala yake mnapondeà ili pesa ziendelee kubakia hazina Kijana jua kwamba kila mbuzi anakula...
  8. jeipm

    Pale mke anapofungwa miaka 30 jela na hurusiwi kuongeza mke, hii hali inatatuliwa vipi?

    Imeandikwa wapi kwamba manabii na mitume walifungisha watu ndoa Ndoa ni makubaliano ya watu wawili mke na mme Kuaoa au kuacha kuoa ni maamuzi yako wewe mwenyewe kwa sababu suala la ndoa ni suala linalohusu mwili wa mtu Wala sio suala la kiroho
  9. jeipm

    Hali ya Usalama Wilayani Temeke si nzuri

    Mnawafukuza machinga mtaani mnataka wakale wapi? tutabanana wote hapa hapa
  10. jeipm

    Hii hapa Dawa ya Panya Road

    Sasa wewe una uhakika gani kwamba wote wamehusika na hilo tukio Kama wamehusika na ushahidi upo nini maana ya kuundwa sheria na mahakama Unashawishi watu wachukue sheria mkononi wakati unajua ni kinyume Cha sheria
  11. jeipm

    Mwanangu wa miezi sita (6) anaumwa mafua hatari.

    Chukua mafuta ya samli(mafuta ya maziwa ya ng'ombe) mpake kutwa x 3 mwanzoni mwa mapua yake
  12. jeipm

    Mwaka 1999 kurudi nyuma ilikuwa ngumu sana kuchaguliwa shule ya Sekondari ya Serikali. Waliobahatika walijulikana kata nzima. Je, wewe ni mmoja wao?

    Uchache wa Sekondari enzi hizo ndio lilisababisha hilo zengwe Upatikanaji wa kitu kikiwa kidogo na mahitaji ni mengi kinapanda thamani
  13. jeipm

    Wanawake wa Kenya wengi wao sio Romantic. They mostly talk, behave like men

    Kwao hakuna ustarabu wa lugha... si Kiswahili wala kiingereza
  14. jeipm

    Tupige kura ya maoni ya tujiunge Kama Jimbo la Marekani

    Kwa hali hii ya uongozi wa nchi hii Kuna haja ya kukaa chini na kufanya maamuzi magumu kwa manufaa ya vizazi vya Sasa na vya baaadae Kama wote tinavyofahamu kwamba nchi ya marekani ina majimbo yasipopungua 52 na kila Jimbo lina uchumi imara hata zaidi ya nchi yetu Japokuwa tuna rasilimali...
  15. jeipm

    Kwenu Viongozi wa Umoja Party

    Umma Party Kama ntapigania mazuri ya JPM hakika kura yangu halali yenu
Back
Top Bottom