Hii hapa Dawa ya Panya Road

Hii hapa Dawa ya Panya Road

Huwezi waamini polisi kiasi hicho.
Sio kila anayekamatwa na kutuhumiwa kuwa ni mhalifu, ni kweli ni mhalifu.
Hata wengine wanaweza mpaka kutiwa hatiani na mahakama kwa ushahidi wa magumashi lakini kiukweli hawana hatia.

Sasa ukiua watu wa hivyo halafu baadaye ukaja fahamu kuwa walikuwa sio wahalifu, utajiskiaje?
Hata kama mkuu, kwani hao wanaokamatwa kwa kuzushiwa ndo huwa wanaachiwa baadae? Tena hao ndo huwa haieleweki hata wameishia wapi. Mtaskia tu kapigwa risasi ya mguu akafa wakati anajaribu kukimbia, au kaugua hadi kufa akiwa mahabusu.
 
Wanapelekwa sehemu ya wazi ya umma mfano Pale Mwembe yanga wanapandishwa juu ya kama stage waandishi wa habari na wananchi wakishuhudia wanamiminiwa risasi za moto,then wanashushwa na kwenda kuzikwa na jiji...hiyo ni kimya kimya hakuna kuongea.....ikitokea sehemu nyingine hivyo hivyo kamata watano watataja wenzao zoezi lilelile..
Hapo matukio ya uhalifu hasa haya ya mob itakua story
Lakini kama wanaona maisha ni kawaida tu nikiwekwa ndani siku ikifika nitatoka aisee hawakomi hawa!
Mna akili za kikatili sana. Halafu mnadhubutu kwenda makanisani na misikitini kusali na kuswali.

Tanzania imesaini mikataba ya haki za binadamu. Kila binadamu hata aliyevunja sheria, ana haki ya kusikilizwa na kuadhibiwa kwa namna sheria zinavyosema.

Tukitaka kutenda matendo ya kinyama kama hayo, tuwaite al-shabaab waje watutawale. Au sisi wenyewe tujitangaze kuwa tumeweka sheria pembeni kwa muda ili tuuvae unyama na kutenda hayo mambo ya kinyama.

Ushauri wangu ni serikali kuongeza nguvu, ubunifu na weledi wa jeshi la polisi. Kama ikiwezekana hili jeshi la nchi nzima lipunguzwe ukubwa ili yaundwe majeshi madogo madogo ya majiji, miji nk. yanayoendana na mahitaji ya mahali husika.

Tusikubali jeshi la polisi lijifiche na kukimbia jukumu la ulinzi na usalama wa raia na mali zao. Tusikubali kujiingiza kwenye umwagaji damu usiofuata misingi ya sheria.
 
Wanapelekwa sehemu ya wazi ya umma mfano Pale Mwembe yanga wanapandishwa juu ya kama stage waandishi wa habari na wananchi wakishuhudia wanamiminiwa risasi za moto,then wanashushwa na kwenda kuzikwa na jiji...hiyo ni kimya kimya hakuna kuongea.....
Unasema waandishi wa habari na wananchi washuhudie, halafu unakuja kusema tena ifanyike kimya kimya! Nadhani haujatulia kiakili
 
Taarifa ya habari juzi kamanda wa polisi amethibitisha kukamatwa vijana 12 ikiwa ni sehemu ya panya road 30 waliofanya uhalifu huko Chanika

Kwa bahati nzuri hawa wahalifu wamekiri kuhusika na uhalifu wote

Tukiendelea na mfumo tulionao wa kuanza kupelekana mahakamani miezi nenda rudi mara dhamana haya kaenda karudi matukio ya uhalifu hayatokuja kuisha nchini!

Juzi tumepoteza askari wetu watiifu huko Mwanza kwa ajali wakiwa wanasafirisha wahalifu sugu tena hatari,wapumzike kwa amani askari wale.

Nini kifanyike ukishawapata wahalifu kama hawa

Wanapelekwa sehemu ya wazi ya umma mfano Pale Mwembe yanga wanapandishwa juu ya kama stage waandishi wa habari na wananchi wakishuhudia wanamiminiwa risasi za moto,then wanashushwa na kwenda kuzikwa na jiji...hiyo ni kimya kimya hakuna kuongea.....ikitokea sehemu nyingine hivyo hivyo kamata watano watataja wenzao zoezi lilelile.

Hapo matukio ya uhalifu hasa haya ya mob itakuwa story
Lakini kama wanaona maisha ni kawaida tu nikiwekwa ndani siku ikifika nitatoka aisee hawakomi hawa!

Kwa tulioishi nchi za gulf arabuni tutakuwa mashahidi...kule hakuna kusikia mwizi huyo..
Mwizi huyo..
Kuna nchi nimeishi huko unaweza enda likizo ukaacha nyumba yako wazi na ukirudi baada ya mwezi au zaidi utakuta vumbi tu ndani au labda paka aingie lakini kila kitu utakuta salama.

Sasa nenda wewe kaibe au ufanye mauaji kule

Hapa kwetu hususan mwaka huu kila siku news unasikia mtu kaua kakamatwa tena na ushahidi kabisa!lakini basi husikii kingine zaidi ya kusikia anapelekwa mahakamani! Hawa wauaji kwa wenzetu huko hawavuki siku 7 anakua keshapotezwa nae hii inasaidia kwa wengine kuogopa kutenda jambo la kuua

Mfano nilisikia mwezi jana kuna mtu huko shinyanga kaua mke wake kwa kumkatakata mapanga na kutenganisha viungo!

Ikasemekana huyu muuaji pia miaka ya nyuma alisha muua mama yake mzazi lakini akahukumiwa kwa kuua bila kukusudia!akafungwa miaka minne sijui...sasa alivyomaliza kifungo amekaa na familia yake na mwisho wa siku kaua mke! Imagine mtu yule yule!

Hivyo hawa panya road na wauaji ni wa kuwa miminia bullets tu itakua mwisho wao!

Oneni Korea huko kuna waziri wa ulinzi yeye alisinzia tu wakati Rais akihutubia kikaoni, lyule alipigwa kombora akafariki!
Unachosema huwa kinafanyika...husikiagi "Jambazi hilo lilipigwa risasi lilipojaribu kuwatoroka polisi wakati likipelekwa kuonesha lilipoficha silaha na wenzake...."


Hapo jambazi ashaminywa, kawataja wenzake wote, maficho yote ya silaha na zimeshapatikana..matukio yote yaliyopiga kisha baada ya hapo ni paa! Paa! Paa! Then press conference JAMBAZI LILIUAWA LILIPOJARIBU KUTOROKA
 
Taarifa ya habari juzi kamanda wa polisi amethibitisha kukamatwa vijana 12 ikiwa ni sehemu ya panya road 30 waliofanya uhalifu huko Chanika

Kwa bahati nzuri hawa wahalifu wamekiri kuhusika na uhalifu wote

Tukiendelea na mfumo tulionao wa kuanza kupelekana mahakamani miezi nenda rudi mara dhamana haya kaenda karudi matukio ya uhalifu hayatokuja kuisha nchini!

Juzi tumepoteza askari wetu watiifu huko Mwanza kwa ajali wakiwa wanasafirisha wahalifu sugu tena hatari,wapumzike kwa amani askari wale.

Nini kifanyike ukishawapata wahalifu kama hawa

Wanapelekwa sehemu ya wazi ya umma mfano Pale Mwembe yanga wanapandishwa juu ya kama stage waandishi wa habari na wananchi wakishuhudia wanamiminiwa risasi za moto,then wanashushwa na kwenda kuzikwa na jiji...hiyo ni kimya kimya hakuna kuongea.....ikitokea sehemu nyingine hivyo hivyo kamata watano watataja wenzao zoezi lilelile.

Hapo matukio ya uhalifu hasa haya ya mob itakuwa story
Lakini kama wanaona maisha ni kawaida tu nikiwekwa ndani siku ikifika nitatoka aisee hawakomi hawa!

Kwa tulioishi nchi za gulf arabuni tutakuwa mashahidi...kule hakuna kusikia mwizi huyo..
Mwizi huyo..
Kuna nchi nimeishi huko unaweza enda likizo ukaacha nyumba yako wazi na ukirudi baada ya mwezi au zaidi utakuta vumbi tu ndani au labda paka aingie lakini kila kitu utakuta salama.

Sasa nenda wewe kaibe au ufanye mauaji kule

Hapa kwetu hususan mwaka huu kila siku news unasikia mtu kaua kakamatwa tena na ushahidi kabisa!lakini basi husikii kingine zaidi ya kusikia anapelekwa mahakamani! Hawa wauaji kwa wenzetu huko hawavuki siku 7 anakua keshapotezwa nae hii inasaidia kwa wengine kuogopa kutenda jambo la kuua

Mfano nilisikia mwezi jana kuna mtu huko shinyanga kaua mke wake kwa kumkatakata mapanga na kutenganisha viungo!

Ikasemekana huyu muuaji pia miaka ya nyuma alisha muua mama yake mzazi lakini akahukumiwa kwa kuua bila kukusudia!akafungwa miaka minne sijui...sasa alivyomaliza kifungo amekaa na familia yake na mwisho wa siku kaua mke! Imagine mtu yule yule!

Hivyo hawa panya road na wauaji ni wa kuwa miminia bullets tu itakua mwisho wao!

Oneni Korea huko kuna waziri wa ulinzi yeye alisinzia tu wakati Rais akihutubia kikaoni, lyule alipigwa kombora akafariki!
Mkuu mwanza mitaa ya kwetu vibaka wote waliacha na wengine waliuwawa na wengine kuhama magazine na kukimbia kusikojulikana.

inasemekana kulikua na msako wa vibaka kimya kimya ukikamatwa unapelekwa kigoto unapigwa risas unaenda zikwa na jiji.. kuna watu nawafahamu kama watatu ni vibaka walipotea mpaka leo haijulikani walipo.

inasemekana walikamatwa wakapigwa risas na askar mpaka sasa huku kitaa hali ni shwari vibaka wote walishahama.. hao waliopotea mpaka leo haijulikan na gerezan hawapo kiufup hiyo opereshen imeleta amani mitaa yetu
 
Sasa wewe una uhakika gani kwamba wote wamehusika na hilo tukio

Kama wamehusika na ushahidi upo nini maana ya kuundwa sheria na mahakama

Unashawishi watu wachukue sheria mkononi wakati unajua ni kinyume Cha sheria
 
Huwezi waamini polisi kiasi hicho.
Sio kila anayekamatwa na kutuhumiwa kuwa ni mhalifu, ni kweli ni mhalifu.
Hata wengine wanaweza mpaka kutiwa hatiani na mahakama kwa ushahidi wa magumashi lakini kiukweli hawana hatia.

Sasa ukiua watu wa hivyo halafu baadaye ukaja fahamu kuwa walikuwa sio wahalifu, utajiskiaje?
Hakun cha kujiskia wala kujiona. Ukikamata panya road, peleka mwembe yanga mwagia petrol piga moto wote.
 
Wakipatikana panya road ni kupiga na kuchoma Moto mpaka waishe. Yaani ni tairi tu
 
Mna akili za kikatili sana. Halafu mnadhubutu kwenda makanisani na misikitini kusali na kuswali.

Tanzania imesaini mikataba ya haki za binadamu. Kila binadamu hata aliyevunja sheria, ana haki ya kusikilizwa na kuadhibiwa kwa namna sheria zinavyosema.

Tukitaka kutenda matendo ya kinyama kama hayo, tuwaite al-shabaab waje watutawale. Au sisi wenyewe tujitangaze kuwa tumeweka sheria pembeni kwa muda ili tuuvae unyama na kutenda hayo mambo ya kinyama.

Ushauri wangu ni serikali kuongeza nguvu, ubunifu na weledi wa jeshi la polisi. Kama ikiwezekana hili jeshi la nchi nzima lipunguzwe ukubwa ili yaundwe majeshi madogo madogo ya majiji, miji nk. yanayoendana na mahitaji ya mahali husika.

Tusikubali jeshi la polisi lijifiche na kukimbia jukumu la ulinzi na usalama wa raia na mali zao. Tusikubali kujiingiza kwenye umwagaji damu usiofuata misingi ya sheria.
Haki za kimataifa za nyokwe, hao waliotunga hizo sheria wenyewe wanauwa watu tena wasio na hatia sembuse mwizi red-handed, China is my best country when it comes to deal with stupid issues .
 
Wahalifu ujulikana maana huwa ni kundi sasa kama mmewatawanya mkawakamata wachache waliokuwa kwenye group utasemaje sio wahalifu
Uhalifu ukifanyika, polisi wanakuwa na pressure ya kukamata wahalifu na kuonesha jamii kuwa jeshi la polisi lipo na linalinda raia. Katika pressure hiyo, huwa mara nyingine wanabambikiza watu wasiohusika. Inaweza isiwe hivyo mara zote, lakini haya mambo yapo.
 
Mna akili za kikatili sana. Halafu mnadhubutu kwenda makanisani na misikitini kusali na kuswali.

Tanzania imesaini mikataba ya haki za binadamu. Kila binadamu hata aliyevunja sheria, ana haki ya kusikilizwa na kuadhibiwa kwa namna sheria zinavyosema.

Tukitaka kutenda matendo ya kinyama kama hayo, tuwaite al-shabaab waje watutawale. Au sisi wenyewe tujitangaze kuwa tumeweka sheria pembeni kwa muda ili tuuvae unyama na kutenda hayo mambo ya kinyama.

Ushauri wangu ni serikali kuongeza nguvu, ubunifu na weledi wa jeshi la polisi. Kama ikiwezekana hili jeshi la nchi nzima lipunguzwe ukubwa ili yaundwe majeshi madogo madogo ya majiji, miji nk. yanayoendana na mahitaji ya mahali husika.

Tusikubali jeshi la polisi lijifiche na kukimbia jukumu la ulinzi na usalama wa raia na mali zao. Tusikubali kujiingiza kwenye umwagaji damu usiofuata misingi ya sheria.
Hakuna mkuu dawa ya hawa watu ni kuwamaliza tu hautasikia ujinga tena
Hivi wewe kuna unyama zaidi ya watu mob kukuvunjia nyumba wakaingia ndani ukajeruhiwa wewe mkeo na watoto kubakwa mbele yako na wanaondoka na mali bado unatetea unyama huo?
Kweli watanzania nyerere alitutoa nyongo
 
Una roho ya ki-barbarian (watu wenye tabia kama za wanyama wa mwituni).

Binadamu tulishakubaliana kuishi kwa kufuata sheria. Hayo unayosema hayapo kwenye ulimwengu wa binadamu wa karne hizi.

Ndiyo maana wazungu akina Trump wanataka warudi watutawale upya kwa kuwa bado hatutaki kuishi kama binadamu.
Hayajakukuta wewe
 
Mkuu mwanza mitaa ya kwetu vibaka wote waliacha na wengine waliuwawa na wengine kuhama magazine na kukimbia kusikojulikana.

inasemekana kulikua na msako wa vibaka kimya kimya ukikamatwa unapelekwa kigoto unapigwa risas unaenda zikwa na jiji.. kuna watu nawafahamu kama watatu ni vibaka walipotea mpaka leo haijulikani walipo.

inasemekana walikamatwa wakapigwa risas na askar mpaka sasa huku kitaa hali ni shwari vibaka wote walishahama.. hao waliopotea mpaka leo haijulikan na gerezan hawapo kiufup hiyo opereshen imeleta amani mitaa yetu
Hebuwaelezee hawa wengine humu wanaoleta siasa kwenye kutafuta amani..
 
Sasa wewe una uhakika gani kwamba wote wamehusika na hilo tukio

Kama wamehusika na ushahidi upo nini maana ya kuundwa sheria na mahakama

Unashawishi watu wachukue sheria mkononi wakati unajua ni kinyume Cha sheria
Kuna yule askari wa magereza juzi kati hapa aliyeenda mbeya kwao akamuua baba yake wazi wazitena mbele ya mama mzazi pale unataka uchunguzi wa nini?
 
Hawa vijana wanastahili adhabu Kali sana ambayo siifahamu,maana hawa NDIYO majambazi ya kesho!
 
nimecheka km chizi yaan
Mkuu ujue sijaandika kwa mihemko, ni swal ambalo liko moyoni mwangu muda mrefu.
Nikiwa raisi polisi nitawachapa sana fimbo. Yani hhhiii!!!!
 
nimecheka km chizi yaan

Swala lingine ni swala la kodi, nikiwa raisi (day dreaming) nitapunguza kodi zote za kila aina to the lowest minimum,ila kila mtu LAZIMA ALIPE KODI.

Nikitaka kwenda ziara ya eneo fulani, natanguliza wapelelezi , nikikuta kuna watu hawalipi kodi, meneja tra wa eneo hilo atavuta pumzi ya moto
 
Sheria kali inaweza ikawekwa, lakini tusisahau pia namna polisi wanavyobambikia watu makosa
 
Back
Top Bottom