jeipm
JF-Expert Member
- Sep 28, 2018
- 500
- 820
Hili limetokea Jana baada ya mama watoto kutoka kliniki.
Nimeshangaa sana hili Jambo tena kwenye hii zahanati yetu ambayo tumeijenga kwa nguvu zetu wenyewe
Kwanini wanahukumu mtoto kwa sababu ya mama kutopewa chanjo ya korona kisha tu msimano wake juu ya chanjo hiyo
Kwa kweli nimesikitika Sana
Nimehamua kununua chanjo kwa ajili ya mwanangu kwenye hospitali binafsi ili kuendelea na ratiba yake
Kama Serikali kuna jambo lipo nyuma ya hii chanjo inayolazimishwa kimya kimya basi Bora watangazie umma kwamba chanjo ya korona ni lazima wasifumbe fumbe mambo
Madha fu*****
Nimeshangaa sana hili Jambo tena kwenye hii zahanati yetu ambayo tumeijenga kwa nguvu zetu wenyewe
Kwanini wanahukumu mtoto kwa sababu ya mama kutopewa chanjo ya korona kisha tu msimano wake juu ya chanjo hiyo
Kwa kweli nimesikitika Sana
Nimehamua kununua chanjo kwa ajili ya mwanangu kwenye hospitali binafsi ili kuendelea na ratiba yake
Kama Serikali kuna jambo lipo nyuma ya hii chanjo inayolazimishwa kimya kimya basi Bora watangazie umma kwamba chanjo ya korona ni lazima wasifumbe fumbe mambo
Madha fu*****