Ukiambiwa uthibitishe hiki unachosema hapa utaweza??
Kuna mahala nimeona unalia kujibiwa mbovu tena na babygirl, huyo mbio ukaenda kujiliza kwa mods ili wamchape kwa kukukomoa hajachapwa ukaona ufungue na uzi ukiendelea kuchuruzika kamasi,,,
Mwanaume mzima kushadadia umbea huoni aibu
sasa...
Hoja yako ya wanandoa kuchepuka ukafungwa miaka thelasini ni mfu na ndoto
Wewe na bashite ni mazumbukuku, badala mboreshe huduma za kijamii mnahangaika na vikojoleo na mioyo isiyowahusu
Hivi huyu mshenzi hajui kuwa kuumizwa kimapenzi ni hoja pana ikiwemo kushindwa kutungisha mimba kwa njia za asili??
Kama yeye alishindwa tu kummimba wife wake atawaweza hao wengine,,, jitu lishamba k linazipenda lkn kutia haliwezi anawaonea wivu walaji wanavyofaudu
Kweli kuliwa ni kawaida hasa nyakati hizi ambazo vifanyio ni vichache lakini kumuheshimu mkewe mchepuko ni muhimu kwa ustawi wa furaha na penzi lako
Inawezekana sana ukaiba mume wa mtu na usitake wafarakane na mkewe anaebisha bado mtoto anabalehe
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaiba ila hatukubali kuwaachanisha point kubwa sana hii
Naomba uwe mchepuko wa mume wangu nimekupenda sana unajielewa mnooooo
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.