Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,742
Mimi nmekuwa nadhani ni kawaida lakini nmeshangaa dada mmoja last week akanambia kuwa siyo kawaida kwa uzoefu wake.
Mimi mashine ikisimama inasimama kuangalia juu. Hainyooki nyuzi 90. Ina nend upward. Sijajua sababu ila ndo miaka yote ipo hivyo kiasi kwamba huwa nafanya utani wa kutundika taulo nikitoka kuoga na mashine imesimama wima kinyama.
Hii hunisababishia hata nikivaa boxer napoihifadhi naihifadhi iwe inatizama juu sababu ikitokea ole wangu nikaiweka ilale upande ikatoka ikahisi mazingira flani ikasimama...nitaumia sana na itatuna kiasi hata sitoweza simama vizuri."ole wangu mimi mateso ambayo nitapata.mpaka niende sehemu niitoa ilipokuwa niisimamishe wima upward ndo sasa maumivu mengine yatakata.
Sasa huyu dada kaiona akatabasamu na kusema ndo maana... Nikamuuliza nini. Akasema "hamna kitu, sisemi mpaka unibembeleze"
Nami sikuwa na muda wa kutosha wa kumbembeleza maana nlishambembeleza anipe game nikapata naye akashukuru sasa nimbeleze tena kwa lipi?
Nikaona kama vipi niwaulize wadau maana kwa mimi sijawahi ona mashine za wanaume wenzangu najua tu wanawake maeneo yao yalivyo sababu huko ndo nme specialize.
Je haya maumbile yapo sawa au ni ulemavu flani? Kama ni ulemavu nifanyeje?kwa wasichana kadhaa huwa wananambia tu kuna styles nanii yangu inagusa maeneo flani...haichomi kwenda mbele...wengine wakawa wanalalamika inasababisha watokwe maji sababu ya sehemu inayogusa.
Wengine wana sema hawaelewi iweje iwe imenyooka kuelekea mbele au imenyooka kusimama kuja juu.
Nawasilisha.
Mimi mashine ikisimama inasimama kuangalia juu. Hainyooki nyuzi 90. Ina nend upward. Sijajua sababu ila ndo miaka yote ipo hivyo kiasi kwamba huwa nafanya utani wa kutundika taulo nikitoka kuoga na mashine imesimama wima kinyama.
Hii hunisababishia hata nikivaa boxer napoihifadhi naihifadhi iwe inatizama juu sababu ikitokea ole wangu nikaiweka ilale upande ikatoka ikahisi mazingira flani ikasimama...nitaumia sana na itatuna kiasi hata sitoweza simama vizuri."ole wangu mimi mateso ambayo nitapata.mpaka niende sehemu niitoa ilipokuwa niisimamishe wima upward ndo sasa maumivu mengine yatakata.
Sasa huyu dada kaiona akatabasamu na kusema ndo maana... Nikamuuliza nini. Akasema "hamna kitu, sisemi mpaka unibembeleze"
Nami sikuwa na muda wa kutosha wa kumbembeleza maana nlishambembeleza anipe game nikapata naye akashukuru sasa nimbeleze tena kwa lipi?
Nikaona kama vipi niwaulize wadau maana kwa mimi sijawahi ona mashine za wanaume wenzangu najua tu wanawake maeneo yao yalivyo sababu huko ndo nme specialize.
Je haya maumbile yapo sawa au ni ulemavu flani? Kama ni ulemavu nifanyeje?kwa wasichana kadhaa huwa wananambia tu kuna styles nanii yangu inagusa maeneo flani...haichomi kwenda mbele...wengine wakawa wanalalamika inasababisha watokwe maji sababu ya sehemu inayogusa.
Wengine wana sema hawaelewi iweje iwe imenyooka kuelekea mbele au imenyooka kusimama kuja juu.
Nawasilisha.