Recent content by jei90

  1. J

    Tukio la Ujambazi lililofanikiwa zaidi, kusisimua na kuushangaza Ulimwengu

    Kuna diamond heist nyingine ilifanyika Antwerp ila airport na ilihusisha damonds za thamani ya 50 million USD...mkuu kuna watu wana akili hatari
  2. J

    Je! mtandao ukiwa na download speed kubwa ndio mzuri ?

    Truu mkuu na kwa sisi tunaotumia proxy kwenye hii mitandao yetu tunaexperince sana hii kitu....ntafanya majaribio kwenye ttcl ntakupatia majibu chief
  3. J

    Nahitaji game hizi kwa mwenye nazo

    Wakuu mi natumiaga hii PC Games .....napata games karibia zote ila kama utaitumia nakushauria tumia links za uptobox ziko vizuri
  4. J

    Natafuta graphics card

    True zina tofauti kubwa mkuu, moja ni gaming gpu nyingine ni rendering gpu....itategemea na matumizi hasa ya anayeinunua
  5. J

    Hivi inawezekana kuroot simu zenye android marshmallow??

    Jaribu kupitia hyo link hapo chini Rooting Android Marshmallow
  6. J

    PC Gamers Njooni Hapa

    Labda nianze kwa kusaidia hivi; Game yoyote ile inahitaji kiwango flani cha hardware ili iweze kucheza vizuri kwenye kompyuta. Mfano GTA V mahitaji yake ni kama ifuatavyo: OS: Windows 8.1 64 Bit, Windows 8 64 Bit, Windows 7 64 Bit Service Pack 1. Processor: Intel Core i5 3470 @ 3.2GHZ (4 CPUs)...
  7. J

    PC Gamers Njooni Hapa

    Na ndo maana muanzisha mada kaomba msaada ili kuwafungua watu akili na kusaidiana kwenye maswala ya hardware ili kumeet game specs requirements(mahitaji ya kuweza kucheza hizo game).
  8. J

    PC Gamers Njooni Hapa

    Kama utainstall Origin ni kama umejipeleka polisi na gari la kuiba...find another way...Steam sio ishu sababu inakubana kwenye matumizi ya game yako
  9. J

    Movie mbaya uliyowahi kuitazama!!

    Sorry mkuu ni kipi ambacho hukukielewa kuhusu this movie...Sicario naweza kukusaidia
  10. J

    Movie gani ya kipelelezi unaikubali kuliko zote hadi kesho?

    True kabisa its one of the best....icheki pia The Hunt for Red October kaigiza Sean Connery
  11. J

    Movie gani ya kipelelezi unaikubali kuliko zote hadi kesho?

    Salt is good but tatzo iko highly predictable yani its a one man/woman show...a huge set back
  12. J

    Movie gani ya kipelelezi unaikubali kuliko zote hadi kesho?

    Kwangu zipo nyingi ila naikubali Tinker Tailor Spy Soldier... i highly recommending it...
  13. J

    Uhusiano wa u-genious na Ukichaa

    Truu...Jamaa aligundua formula kali ya Mathematics tatizo alikua na ukichaa wa kujenga mawazo ambayo hayakua halisia...A Beautiful Mind
Back
Top Bottom